watu wanachanganyakiwa na kitu kimoja, ambangile anaongea kinadharia sana, mara nyingi haziwi real, anajua kuelezea mpira ulivyokuwa, hapo kawazidi wachambuzi wengi, tena anawazidi hata makocha wenyewe wenye timu zao-ubaya wa nadharia bana unakuwa unajua kila kitu , ila ukitaka uchambuzi halisi...