namba wanatoa baraza la mitihani, majibu wanatoa wao na kila mwanafunzi taarifa zake zipo baraza la mitihani, watashindwaje kuchakachua watakavyo? mfumo huu haukubaliki hata kidogo, hii ni dhulma kubwa wanayofanyiwa muslims, ila naamin kila jambo lina mwisho.
Tarehe 30/01/2014 ni siku ya hukumu ya mashekh Zanzibar{mselem,faridi,mussa nk},tarehe 16/01/2014 kesi ya shehe Illunga kusikilizwa mwanza,tarehe 17/01/2014 kesi ya Imamu Hamza kusikilizwa mwanza na tarehe 06/02/2014 kesi ya shehe Ponda kusikiizwa Morogoro. JE MASHEKH HAWA WOTE WAOVU? HAWAFAI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.