Recent content by mzigua pekee

  1. M

    Matokeo ya Kidato cha nne: TUNALO LA KUJIFUNZA ZAIDI KWA KANISA KATORIKI?

    namba wanatoa baraza la mitihani, majibu wanatoa wao na kila mwanafunzi taarifa zake zipo baraza la mitihani, watashindwaje kuchakachua watakavyo? mfumo huu haukubaliki hata kidogo, hii ni dhulma kubwa wanayofanyiwa muslims, ila naamin kila jambo lina mwisho.
  2. M

    Ni kweli wahalifu au kuna jambo lingine?

    sawa huo ni mtazamo wako.
  3. M

    Ni kweli wahalifu au kuna jambo lingine?

    Kosa liko wapi wakati wao ni wazanzibar?
  4. M

    Ni kweli wahalifu au kuna jambo lingine?

    Tarehe 30/01/2014 ni siku ya hukumu ya mashekh Zanzibar{mselem,faridi,mussa nk},tarehe 16/01/2014 kesi ya shehe Illunga kusikilizwa mwanza,tarehe 17/01/2014 kesi ya Imamu Hamza kusikilizwa mwanza na tarehe 06/02/2014 kesi ya shehe Ponda kusikiizwa Morogoro. JE MASHEKH HAWA WOTE WAOVU? HAWAFAI...
  5. M

    Lowassa awapasha akina Nape na Mangula...

    ataendelea kutumika tu
  6. M

    Kutoka Mahakamani: Hukumu ya kesi ya Zitto dhidi ya CHADEMA!

    tunasubiri habari za uhakika toka kwako kamanda.
  7. M

    Mahakama kuu yaahirisha kutoa uamuzi dhidi ya Zitto

    CUF ninayoijua mimi hawawezi kufanya hivyo, labda kama hao wahuni tu wenye lengo la kukichafua chama cha CUF.
  8. M

    Ufafanuzi; Waziri Mkuu alilidanganya Bunge na Taifa

    kwa kiasi hicho wasomi wenye tamaa wote watakimbilia kwenye siasa
  9. M

    Mizengo Pinda: Mshahara wangu kama Waziri Mkuu hauzidi Shilingi milioni sita (6)

    hee! kwani wengine wanakopaje na wanalipaje?
Back
Top Bottom