Mkuu bei ya gari ikiwa Japan. inaitwa Fob na ikishatumwa na kufika Dar bei yake inakuwa Cif yaani hata insurance ya kwenye meli ishalipwa. Hiyo cif ndiyo Pilato anatumia kupanga thamini ya kodi
Ndugu swali lako ni la msingi sana. Kama tujuavyo kipimo cha joto kwenye jua ni zaidi ya nyuzi ,6000cent.gredi . Ni kweli joto hupungua kadri unavyokwenda juu . Na hii hutokea kwenye tabaka la chini la anga linaloitwa kwa kiingereza Troposphere. Tabaka hili hupatikana kuanzia usawa wa ardhi hadi...
Ninyi baadhi ya wachungaji ni wepesi wa kuropoka. mnakumbuka kuwa hata Jakaya Mrisho kikwete alipochaguliwa mlikuwa wa kwanza kusema kuwa JK ni chaguan la Mungu. Tena kwa kujinasibu kuwa eti mmeambiwa na mungu kuwa JK ndiye chaguo lake. kitambo kifupi tu mkamgeuka. Hubirini uzima wa milele mambo...
Mleta Uzi amechekesha walonuna. Unajua hata bei ya Mafuta ya petrol imepangwa kulingana na dola ndiyo maana taasisi husika inatoa bei elekezi dola inapopanda au kushuka. Nauli ya ndege inapangwa kwa dola mashirika yote kinachofanyika mashirika mengine kwenye matangazo yao wanakubadilishia kabisa...
Wekeni picha wote wawili maana mmoja wenu ni CCM anatetea kuwa hakuna polisi wengi na mwingine UKAWA anadai polisi ni wengi na nyote mna macho mawili ila mnaongea kufata mapenzi yenu. Mnapata faida gani?
Tunaposema TBC inatia aibu tujitazame na sisi wenyewe kwani hata nyie wachangiaji wa hii mada mnzungumzia REPLAY lakini wote mnaandika REPLY . JE HIYO NAYO SIO AIBU KWENU?
Hicho ni kiwango cha hali yajuu ya ulimbukeni. Wewe unayetaka kuchangia mchngo kwa rais magufuli huna tofauti na Limbukeni yeyote ambaye anaingia kwenye gari na kulipa nauli kwa mtu ambaye wala hawajaongozana safari moja eti tu aonekane anazo. hivi hujui kuwa unalipa kodi? Nini kazi ya kodi...
tatizo la watanzania kila jambo tunaleta siasa. Mtu akihoji serikali anaitwa Mpinzani hivyo watu wanapenda viongozi wapigiwe makofi tu kila wanaloongea . Mtoa hoja kaeleza vizuri sana tena kufatatana na matumizi ya serikali lazima yaidhinishwe na Bunge kinyume cha hapo ni kudanganyana tu na...
Mbona Mbona dado unamung'unya? ukisema bila kuwataja majina hao watu unaodhani wamejiunga na chama nani atawajua na kudhibitisha kuwa usemayo si majungu au masufuria?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.