Panapotakiwa kusifiwa pasifiwe tusibaki kusubili wengine wandike ili upate pa kubishia,hongereni azam maana mnapaswa kupewa pongezi hizi na maanzalizi ya makao makuu ya azam tv pale mkabala na dar group na radio tz yanaonekana.
MCHEZAJI GANI NDANI YA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA ANAEFAA KUTUWAKILISHA KIMATAIFA?
Nafasi yake:........................
Umri wake:......................... DD-MM-YYYY
Timu anayotokokea:...................
Tafadhalini wadau wa soka la Tanzania NAOMBA mnisaidie kwa hili KUNIJUZA,
TAFADHALINI!
upo sawa kiongozi wala hujakosea.Mambo si magumu sana fuata hiko nlichokuandikia maana ndio procedure nlizofuata baada ya kufungua baadhi ya kampuni zangu.Gud luck brother.
Maana ya huu msemo ni kuwa wakati unaposhindwa kumuamini mtu kuna taratibu za kufuata ili uweze kufanya biashara nae na mtu wa namna hiyo na si kumkimbia maana inawezekana Yule unamkwepa ndio anaefaa na Yule unahisi yuko sawa kumbe ndio adui hivyo huo msemo hapo unakufaa na mbali ya yote...
pole sana fuata utaratibu wa kiusalama uweze kumpata muhusika ila cha maana zaidi kama ushauri kwa wadau wote ni kuwa usimuamini mtu amini kwenye kuandikishiana na mikataba ya kisheria hiyo ndio nguzo ya ufanyaji wa biashara ambayo njia hiyo hata mungu ametuagiza tuifuate katika biashara zetu.
Natumaini wakati wao wakiwa katika orodha ya matajiri kumi Tanzania mimi napambana kuwa katika orodha ya matajiri kumi duniani wakati mfukoni sina hata milioni.my dreams is to be billionaire in this world.
my dreams is to be billionaire in this world.
Nimepitia mambo mengi katika umri wangu mdogo ila kitu ninachoshindwa kukiacha maishani ni kuhusiana na ndoto yangu ya kuwa Tajiri namba moja duniani ingawaje ni mtanzania mwenye kipato cha kawaida ila mwenye malengo mengi ninayokazania yatimie,JE NAWEZAJE KUTIMIZA NDOTO YANGU YA KUWA TAJIRI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.