Recent content by Mzee

  1. Mzee

    GE2025 Mbowe na Mpina: Mfano wa Wanasiasa wasio na Mioyo ya Shukrani

    Habari za leo Watanzania Tukiwa tunaelekea ktk Uchaguzi mkuu, zimefika zile nyakati za Wanasiasa kuhama Chama hiki kwenda kile kwa Maslahi ya Kisiasa. Naomba kuwagusia hawa Wanasiasa wawili kama mfano wa namna Wanasiasa wasivyo na Mioyo yenye Shukrani. 1.Freeman Aikael mbowe ameingia ndani ya...
  2. Mzee

    Arusha Mjini: Inaonyesha kiwango cha Ujinga wa Watanzania

    Watu wanachukulia kama Jokes inapofika swala la kupata Kiongozi wa kuwawakilisha... Tunachagua kwa Ushabiki badala ya kuReasoning ya Kisawa Sawa.
  3. Mzee

    Arusha Mjini: Inaonyesha kiwango cha Ujinga wa Watanzania

    Arusha ni Pombe, Mirungi na Bhangi. Ndio maana walikubali Identity yao kuwa ni wadudu.
  4. Mzee

    Arusha Mjini: Inaonyesha kiwango cha Ujinga wa Watanzania

    Hii ni ishara ya Kibri cha hali ya Juu sana. Anadhani popote anaweza kugombea na akashinda.
  5. Mzee

    Arusha Mjini: Inaonyesha kiwango cha Ujinga wa Watanzania

    Hakuna mtu anataka Mbunge awe mzaliwa wa eneo husika. Makosa makubwa sana ni kuwapa Jimbo wapita njia. Makonda kilichompeleka Arusha ni Ukuu wa Mkoa. Inamaana mf. angeenda kuwa mkuu wa mkoa Mwanza angegombea Mwanza. Sababu ya CCM wanajua Arusha ni wajinga wakaamua kumpitisha sababu wanajua...
  6. Mzee

    Arusha Mjini: Inaonyesha kiwango cha Ujinga wa Watanzania

    Na hii ndio Spirt inayotakiwa kila Maeneo. Hata akiwa sio Mwaisa walau awe na Vinasaba vya hilo Jimbo. Sasa Makonda Arusha ameenda sababu ya Ukuu wa Mkoa wanaamua kumpa na Ubunge. Huu si Ulimbukeni wa hali ya Juu sana.
  7. Mzee

    Arusha Mjini: Inaonyesha kiwango cha Ujinga wa Watanzania

    Naomba kukuambia kuwa Arusha wameonyesha kiwango cha Juu sana cha Ujinga ambacho sikukitegemea kwa Majimbo ambayo yana hadhi ya Jiji Wakuu wa Mikoa hawakatazwi kugombea Ubunge, kwanini Jamaa asirudi kwao kugombea. Mwaka 2020 alienda Kigamboni, Wajumbe wakamkataa. Mwaka huu kaona eneo ambalo...
  8. Mzee

    Arusha Mjini: Inaonyesha kiwango cha Ujinga wa Watanzania

    Ugomvi wa Makonda na Gambo haukua na lengo la kutatua Changamoto za wana Arusha. Bali ilikua ni vita ya Ubunge.
  9. Mzee

    Arusha Mjini: Inaonyesha kiwango cha Ujinga wa Watanzania

    Swala la CCM kumuacha Makonda agombee Arusha ni ishara kuwa ile mitifuano kati ya Makonda na Gambo ilikua na Baraka za moja kwa moja toka katika Chama. Namna gani Mkuu wa Mkoa (serikali) anagombana na Mbunge (Bunge) kisha Chama kinakaa kimya na kinasimama na Mkuu wa Mkoa. Hii ni mihimili...
  10. Mzee

    Arusha Mjini: Inaonyesha kiwango cha Ujinga wa Watanzania

    Nendeni naye kwakua tunawajua Arusha mna Changamoto ya Afya ya akili... Kama Jamaa hata kwao tu Kolomije hawamtaki lkn Arusha amepita.
  11. Mzee

    Arusha Mjini: Inaonyesha kiwango cha Ujinga wa Watanzania

    Mtu kutoka Kolomije akawaletea Identity ya Wadudu na akaiBrand....
  12. Mzee

    Arusha Mjini: Inaonyesha kiwango cha Ujinga wa Watanzania

    Na Ujinga wa Watanzania ndio Mtaji Mkubwa sana wa CCM.
  13. Mzee

    Arusha Mjini: Inaonyesha kiwango cha Ujinga wa Watanzania

    Sio Ukabila Jombaa, lazima Mbunge na Vinasaba vya Jimbo husika. Hauwezi kuwakilisha Jamii ambayo huijui. Ni kama kiongozi wa Kiislam kwenda Kuwakilisha Jamii ya Kikristo. Hapo lazima atazingua.
  14. Mzee

    Arusha Mjini: Inaonyesha kiwango cha Ujinga wa Watanzania

    Arusha inatambulisha kama Nembo ya Ujinga Tanzania.. Namna gani mnakubali kuwa na Utambulisho wa wadudu?? Namna gani mnakubali kuachia Jimbo kindezi namna hii
  15. Mzee

    Arusha Mjini: Inaonyesha kiwango cha Ujinga wa Watanzania

    Arusha wana dhalilisha sana Tanzania, hawa Jamaa wanaweza kuuza utu wao kisha Fedha.... Makona ameenda Arusha sababu ya Ukuu wa Mkoa, hana Historia yoyote na Arusha. Leo hii anaenda kuchukua Form na kuna Wajumbe wengi tu wanashangilia. Hii itajenga Msingi kwa Wakuu wa Mikoa mingine kutafuta...
Back
Top Bottom