Kwakweli hili jambo linasikitisha sana. Mwanza maeneo mengi sana maji yanasumbua sana! Igoma mpaka kisesa, buswelu. Buhongwa mpka usagara kote huko maji hakuna. Wakati ziwa liko mita chache tu. Halafu maji yanatoka vizuri mbali huko Shinyanga. Binafsi huwa sielewi kabisa. Na inauma sana...
Wengi wa wanaokosoa nakuhakikishia hawajawahi kula matunda kimasihara/bila kutumia nguvu nyingi. Na kwa asili huwa wakipata demu wanaachwa haraka sababu ya ghubu zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.