Hii ndio aina ya wanaume wengi wa JF MMU, wanaune mko vizuri mno

Habari za sasa wana JF MMU.

Nikiri kuwa ukifatilia stori za hapa na pale zinazopostiwa humu JFs utagundua kuwa wanaume wa humu wengi wamejaaliwa, wananemeka, wanabahati, wana mazali ya kufa mtu. Kwanza wanaume wa humu wana sifa zifuatazo

1. Wote ni mahandsome
2. Wote wana pesa, magari, majumba mazuri na mageto ya maana.
3. Kila mwanaume humu ana demu/mke mkali, mzuri, mrembo, mwenye shepu nzuri, sura kama malaika.
4. Wanaume wa humu hawanyanyaswi wala kusumbuliwa na wanawake.

5. Wengi hawatongozi ila wanatongozwa kutokana na mvuto walio nao wa sura au
Pesa.

6. Wengi wameshatembea na wanawake kuanzia 10 hadi 300. Hii ni baraka, zali la mentali.

7. Hawahongi.

stori nyingi za humu hazifanani na uhalisia huku kwenye jamii tunakoishi. Mademu wapo lakini siyo kama inavyooneshwa na kurahisishwa humu. Kuna mtu atakwambia amevuta mademu wote wa halmashauri fulani au wa ofisi fulani utadhani yeye ni mwanaume peke yake na wanawake wanamwangalia yeye tu. Wanaume tuache maigizo ya kujimwambafy inatupunguzia heshima sio sifa. Uongo haumusaidii kitu. Tutoe mastori ya kupendeza na kufurahisha lakini yawe na uhalisia.

Hata aliyelala guest bububu pale Buguruni za elfu 10 basi akija humu anasema alilala na demu mkali hotel fulani maarufu hapa Dar.

Hahahaaaa leo nimewaumbuaaa!!! Kama mbwai iwe mbwai tu.
Umesahau wote tunatumia iPhone 15 X Plus
 
Habari za sasa wana JF MMU.

Nikiri kuwa ukifatilia stori za hapa na pale zinazopostiwa humu JFs utagundua kuwa wanaume wa humu wengi wamejaaliwa, wananemeka, wanabahati, wana mazali ya kufa mtu. Kwanza wanaume wa humu wana sifa zifuatazo

1. Wote ni mahandsome
2. Wote wana pesa, magari, majumba mazuri na mageto ya maana.
3. Kila mwanaume humu ana demu/mke mkali, mzuri, mrembo, mwenye shepu nzuri, sura kama malaika.
4. Wanaume wa humu hawanyanyaswi wala kusumbuliwa na wanawake.

5. Wengi hawatongozi ila wanatongozwa kutokana na mvuto walio nao wa sura au
Pesa.

6. Wengi wameshatembea na wanawake kuanzia 10 hadi 300. Hii ni baraka, zali la mentali.

7. Hawahongi.

stori nyingi za humu hazifanani na uhalisia huku kwenye jamii tunakoishi. Mademu wapo lakini siyo kama inavyooneshwa na kurahisishwa humu. Kuna mtu atakwambia amevuta mademu wote wa halmashauri fulani au wa ofisi fulani utadhani yeye ni mwanaume peke yake na wanawake wanamwangalia yeye tu. Wanaume tuache maigizo ya kujimwambafy inatupunguzia heshima sio sifa. Uongo haumusaidii kitu. Tutoe mastori ya kupendeza na kufurahisha lakini yawe na uhalisia.

Hata aliyelala guest bububu pale Buguruni za elfu 10 basi akija humu anasema alilala na demu mkali hotel fulani maarufu hapa Dar.

Hahahaaaa leo nimewaumbuaaa!!! Kama mbwai iwe mbwai tu.
Ngoja kwanza nikipitie chuma changu cha BMW 5 series. Halafu nitarudi kucomment hapa...
 
Huyu mwingine. Anaijua jf toka 2003
Tulio wengi sisi sio vijana wadogo, tumetoka mbali, Angalia ID zote zenye miaka mingi ni watu wazima sisi.
Wengi ni watu wenye nafasi katika Jamii.
Lakini pia enzi zile computer zilikuwa maofisini kwa watu maalum,Watu walioweza kuwa na access na JF walikuwa watu wa aina fulani tu,Nakumbuka mahali nilipokuwa miaka ya 2000-2003 Computer zilikuwa 2 tu Wilaya nzima, ya ofisini kwangu Mimi na idara nyingine kulikuwa na Expert, naye huyo expert mara nyingi alikuwa anakuja ofcn kwangu kupata huduma ya Internet, ilikuwa ili huwezi kupata connection lazima uwe na line ya simu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom