Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,501
- 70,304
Duh hadi Sagna unamjua. Ila bora Ngolo ana sura ya upole fulani weusi ndio wakuzidi.Wengi humu wana sura kama ngolo kante na sagna niamini
Duh hadi Sagna unamjua. Ila bora Ngolo ana sura ya upole fulani weusi ndio wakuzidi.Wengi humu wana sura kama ngolo kante na sagna niamini
Fake It 'Till You Make It.Mkuu maisha yetu magumu mtaani, mnataka na jf tuishi maisha magumu tu? Wacha tuishi maisha ya ndoto zetu humu.
Usitufuatilie.
Malizia basi.Alisikika akisema.........
Cc chaliifranciscoWengi tunaishi kwa shemeji.
M-Beijing aka pasua kichwaMalizia basi.
Sent from my Infinix X606D using Tapatalk
Umesahau wote tunatumia iPhone 15 X PlusHabari za sasa wana JF MMU.
Nikiri kuwa ukifatilia stori za hapa na pale zinazopostiwa humu JFs utagundua kuwa wanaume wa humu wengi wamejaaliwa, wananemeka, wanabahati, wana mazali ya kufa mtu. Kwanza wanaume wa humu wana sifa zifuatazo
1. Wote ni mahandsome
2. Wote wana pesa, magari, majumba mazuri na mageto ya maana.
3. Kila mwanaume humu ana demu/mke mkali, mzuri, mrembo, mwenye shepu nzuri, sura kama malaika.
4. Wanaume wa humu hawanyanyaswi wala kusumbuliwa na wanawake.
5. Wengi hawatongozi ila wanatongozwa kutokana na mvuto walio nao wa sura au
Pesa.
6. Wengi wameshatembea na wanawake kuanzia 10 hadi 300. Hii ni baraka, zali la mentali.
7. Hawahongi.
stori nyingi za humu hazifanani na uhalisia huku kwenye jamii tunakoishi. Mademu wapo lakini siyo kama inavyooneshwa na kurahisishwa humu. Kuna mtu atakwambia amevuta mademu wote wa halmashauri fulani au wa ofisi fulani utadhani yeye ni mwanaume peke yake na wanawake wanamwangalia yeye tu. Wanaume tuache maigizo ya kujimwambafy inatupunguzia heshima sio sifa. Uongo haumusaidii kitu. Tutoe mastori ya kupendeza na kufurahisha lakini yawe na uhalisia.
Hata aliyelala guest bububu pale Buguruni za elfu 10 basi akija humu anasema alilala na demu mkali hotel fulani maarufu hapa Dar.
Hahahaaaa leo nimewaumbuaaa!!! Kama mbwai iwe mbwai tu.
Mweeeeeh!! Naonewa mimi jamaniM-Beijing aka pasua kichwa
HahahaaaUmesahau wote tunatumia iPhone 15 X Plus
Teh teh 🤣 🤣🤣 🤣Hao wa kuwalea hata hawapo basi tu, stori za uswazi za kugushi wanazibeba kama zilivyo wakija humu wanajifnya ni wao.
Ngoja kwanza nikipitie chuma changu cha BMW 5 series. Halafu nitarudi kucomment hapa...Habari za sasa wana JF MMU.
Nikiri kuwa ukifatilia stori za hapa na pale zinazopostiwa humu JFs utagundua kuwa wanaume wa humu wengi wamejaaliwa, wananemeka, wanabahati, wana mazali ya kufa mtu. Kwanza wanaume wa humu wana sifa zifuatazo
1. Wote ni mahandsome
2. Wote wana pesa, magari, majumba mazuri na mageto ya maana.
3. Kila mwanaume humu ana demu/mke mkali, mzuri, mrembo, mwenye shepu nzuri, sura kama malaika.
4. Wanaume wa humu hawanyanyaswi wala kusumbuliwa na wanawake.
5. Wengi hawatongozi ila wanatongozwa kutokana na mvuto walio nao wa sura au
Pesa.
6. Wengi wameshatembea na wanawake kuanzia 10 hadi 300. Hii ni baraka, zali la mentali.
7. Hawahongi.
stori nyingi za humu hazifanani na uhalisia huku kwenye jamii tunakoishi. Mademu wapo lakini siyo kama inavyooneshwa na kurahisishwa humu. Kuna mtu atakwambia amevuta mademu wote wa halmashauri fulani au wa ofisi fulani utadhani yeye ni mwanaume peke yake na wanawake wanamwangalia yeye tu. Wanaume tuache maigizo ya kujimwambafy inatupunguzia heshima sio sifa. Uongo haumusaidii kitu. Tutoe mastori ya kupendeza na kufurahisha lakini yawe na uhalisia.
Hata aliyelala guest bububu pale Buguruni za elfu 10 basi akija humu anasema alilala na demu mkali hotel fulani maarufu hapa Dar.
Hahahaaaa leo nimewaumbuaaa!!! Kama mbwai iwe mbwai tu.
Pole
Kwani wewe hujawahi kula papuchi kama 30-50 hivi??Teh teh 🤣 🤣🤣 🤣
Naona umeamua kututolea uvivu.
Hahaha sagna ni hatari na tumacho tudogooooDuh hadi Sagna unamjua. Ila bora Ngolo ana sura ya upole fulani weusi ndio wakuzidi.
Tulio wengi sisi sio vijana wadogo, tumetoka mbali, Angalia ID zote zenye miaka mingi ni watu wazima sisi.
Wengi ni watu wenye nafasi katika Jamii.
Lakini pia enzi zile computer zilikuwa maofisini kwa watu maalum,Watu walioweza kuwa na access na JF walikuwa watu wa aina fulani tu,Nakumbuka mahali nilipokuwa miaka ya 2000-2003 Computer zilikuwa 2 tu Wilaya nzima, ya ofisini kwangu Mimi na idara nyingine kulikuwa na Expert, naye huyo expert mara nyingi alikuwa anakuja ofcn kwangu kupata huduma ya Internet, ilikuwa ili huwezi kupata connection lazima uwe na line ya simu.