Recent content by Mzee wa old school

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli hakuna wa kumshauri Samia? Hii inasikitisha

    Tulipata mtu wa dhamani lakini tukaishia kumlaumu na hatimae kumsaliti mzee wa watu mwishoe akaenda zake.... Sasa hii ngoma iliyopo hatuna namna.. nikuomba Mungu tu afanye rehema zake
  2. M

    JamiiForums Tanzania Platform ya kuuza na kununua muziki wasafidotcom tayari kwa matumizi

    wsafi.com imeishia wapi.. mbona siipati?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nikiwa Rais nitabadilisha jina la fedha kutoka Shillingi na kuitwa Tanzanite

    Tuanzishe fedha yetu ya Tanzanite yenye thamani kisha iingizwe mtaani kuiuwa shilingi... mfano tunaipa thamani senti 1 ya Tanzanite sawa na shilingi 100,000/= automatically shilling itapotea na uchumi kubaki juu
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kila mtu amezaliwa akiwa muislamu, ubatizo ndio unaomfanya mtu kuwa mkristu

    Umelogwa na waarabu sio bure... mimi nimezaliwa uhadzabeni huko singidani ndani ndani porini au usandaweni dodoma ndanindani... nakuwaje muarabu sasa? Mbona nazaliwa sijui kiarabu asipokuwa najua kihadzabe au kisandawe?
  5. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wabunge wa sasa waliokatwa kugombea CCM hawa hapa

    Acha uwongo... hakuchukua
  6. M

    JamiiForums Tanzania Raia wa Marekani wapinga vikali watu wa dini kufunga barabara kuswali

    Kwamba ni dini ya haqi hivyo, lazima wasali barabarani...
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Taja sababu iliyokuharibia ukashindwa kuwa na mahusiano na mwanamke uliyompenda kwa dhati

    Kokote pale watu wanachapiwa, ispokuwa humu watu wanathubu kusema kwa uwazi. Kuna kamsemo chao humu wanasemaga sijui kinaanzaje lakini mwishoni kinasema "where we dare to talk"
  8. M

    JamiiForums Tanzania Michubuko njia ya haja kubwa

    Hiyo ni dalili ya bawarisi mzee... nenda hospitali wakucheki.. utapata dawa ya kupunguza maumivu bada ya hapo tafuta dawa asili haraka kabla tatizo halijawa kubwa hadi kuota kinyama
  9. M

    JamiiForums Tanzania Tuwe wakweli Ikulu ya Dodoma haipendezi, Ukame na hali ya jangwa kunaifanya isiwe na mvuto wa kimuonekano

    Ulishawahi kula papai la Dodoma likakudhuru? Hivi unajua machinjio za mzizima (ya vingunguti na ukonga zinatoa ng'ombe wapi?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Tuwe wakweli Ikulu ya Dodoma haipendezi, Ukame na hali ya jangwa kunaifanya isiwe na mvuto wa kimuonekano

    Alokwambia dodoma imejaa sumu nani? Punguza hasira....
  11. M

    JamiiForums Tanzania Daraja la Kijazi pale chini, ndio sehemu pekee Tanzania bodaboda wanafata sheria ya taa za kuongozea magari

    Pale ukithubutu kusogeza hata ncha ya kidole umekwenda.....
  12. M

    JamiiForums Tanzania Tuwe wakweli Ikulu ya Dodoma haipendezi, Ukame na hali ya jangwa kunaifanya isiwe na mvuto wa kimuonekano

    Duuh! Wewe unachuki zako binafsi na Dodoma..
Back
Top Bottom