Recent content by mzee wa mbumba

  1. M

    Team Lowassa walikuwa disorganised!

    Kama mwaka mmoja lowasa alishaulia kuwa Na plan b akawa mbongo kweli yaliyotokea sasa no historian hawakuwa Na mkakati mbadala
  2. M

    Jamani Watu Wazima Watamujeeeeeeee! Nimekufwaaa for Mtu Mzima. (Reader Be Aware PG 30).

    Endelea kwa raha zako huyo bi mkubwa achana naye ,mambo ya kutunza watoto hayakuhusu
  3. M

    Nimechanganyikiwa na Simu ya mtarajiwa wangu

    kijana miaka 28 bado mdogo from 32 and above ndio uanze kufikiria ndoa.mwezi mmoja kabla ya harusi bibi harusi anataka kwenda us kumsaidia dada yake kwani yeye ni nurse au?Hiyo ndoa achana nayo utajiingiza kwenye matatizo, upande wa pili hawakutaki kukuchunguza miezi tisa kwani kaka uliwahi...
  4. M

    Jamani nimepost tangazo langu la kutafuta rafiki wa kiume ambaye badae atakuwa mchumba na hatimaye

    Eeh makubwa haya nakumbuka ule wimbo nimeokota dhahabu kariakoo
  5. M

    Msaada bei ya samsung galaxy Tab 10.1

    .ni pm nikupatie maelekezo
  6. M

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    huyu rafiki yako aongee vizuri na mkewe kwani inawezekana kweli watu wamekwisha toa bikira ya pili.au mkewe kapata marafiki mashankupe wamemfundisha ampe hiyo maneno kumthibiti mumewe.hivyo inawezekana hiyo tigo hajawahi kutoa.lakini uwezekano ni kuwa huyo ni mzoefu toka zamani au anatafuta njia...
Back
Top Bottom