Recent content by Mzee wa Masauti

  1. Mzee wa Masauti

    Mufti wa Tanzania azindua msikiti na kumshukuru Rais Magufuli kwa kutatua mgogoro wa kiwanja!

    Mufti mkuu mapovu yalimtoka kwenye mawaidha ya Eid Al adha. Analalamika waislamu wengi wanaipinga BAKWATA. Sasa ndo ajue waislamu sio wajinga. Binafsi siamini kama kuna muislam mwenye akili timamu anawasikiliza wale wapuuzi. BAKWATA wanasimamia matumbo yao na CCM ndo mana wanapindisha Quran
  2. Mzee wa Masauti

    UFAFANUZI: Usalama wa Taarifa binafsi za Watumiaji wa JamiiForums

    Ongopa Vitu viwili hapa duniani 1. MUNGU 2. TEKNOLOJIA. Hata hao wa wanaoendelea kuteka watu tunawajua ni maafisa wa usalama Taifa (Ushahidi Upo wa kutosha kabisa). Sijui kama umenielewa Lumumba Buku7??
  3. Mzee wa Masauti

    Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu Cryptocurrency na Bitcoin na kwanini siyo uwekezaji mzuri kwako kwa sasa

    Huyo jamaa wa mwisho uliemzungushia anaitwa ''nhanntt5" ameweka order ya kununua bitcoin 100 (2,730,914,153/= tsh at current rate) ila sio kwamba anazo tayari.
  4. Mzee wa Masauti

    Lissu amjibu Ndugai. Asema anatekeleza agizo la Magufuli amfukuze ubunge ili amshughulikie uraiani, asisitiza anarudi Sept 07

    Naomba Sana KARMA hii imfikie Rais, Bunge na Serikali yote. Hii serikali ina laana ndo maana haifanikiwi. Believe me anguko la hii serikali litakuwa BAYA kuliko tunavyodhani. Kibaya zaidi Nchi inaendeshwa KISHIRIKINA.
  5. Mzee wa Masauti

    Chonde chonde M/Mungu ibariki HARAMBEE STARS ishinde mechi ya leo

    Kwa hizi siasa chafu za CCM na serikali yake kwenye mpira wetu. Leo nimefunga na kuomba Taifa Stars IFUNGWE irudi nyumbani kuunga mkoo jubudi. Kumbe Taifa stars inawakilisha serikali ya CCM badala ya Taifa. Narudia tena TUFUNGWEEEE tuwe na amani.
  6. Mzee wa Masauti

    Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu Cryptocurrency na Bitcoin na kwanini siyo uwekezaji mzuri kwako kwa sasa

    Mkuu kwa sasa bei ya bitcoin bado ipo chini sana (20,000,000/= is nothing). Nimefanya technical analysis nimegundua 1btc itakuwa na thamani ya zaidi 100,000,000/= tsh. Brother if u have btc don sell.
  7. Mzee wa Masauti

    Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu Cryptocurrency na Bitcoin na kwanini siyo uwekezaji mzuri kwako kwa sasa

    Nimenunua bitcoin wakati ilipokuwa inauzwa laki nne tsh. Leo nimepata faida zaida ya milioni 18. Wala sina mpango wa kuuza hivi karibuni.
  8. Mzee wa Masauti

    Tusikufuru CAG ni binadamu siyo Mungu!

    Mbona husemi rais wa Tanzania watu wanamwona kama Mungu mtu ambaye hakosei kitu
  9. Mzee wa Masauti

    Magufuli turns Mnangagwa into a translator

    Kila mtu atakufa. Hata wewe na Magufuli mtakufa kwenda kuhukumiwa na m/Mungu. Ben kufa sio tatizo coz kul nafs dhaikal tul maut.
  10. Mzee wa Masauti

    DG wa Tiss kuambatana na Rais nje ya nchi imekaaje?

    Mbona JK alikuwa haendi nao na nchi ilienda kama kawa. Jamaa hajiamini
  11. Mzee wa Masauti

    Magufuli turns Mnangagwa into a translator

    Mbowe kaishia form 6 lakini ana kiingeresa kizuri kuzuri kuliko huyo huyo Mwenyekiti wenu wa CCM -taifa aliepata Phd kiujanja ujanja ndani ya miaka 3 ingawa hakuwa full time student.
  12. Mzee wa Masauti

    Rais Magufuli kushangiliwa kwa nguvu A. Kusini ina maana gani kwa CHADEMA?

    Acha upumbavu. Mbona kila rais alieingia alishangiliwa vile vile!. Kwanza kwa Magufuli kelele zilipungua ukilinganisha na marais wenzake. Ujinga umewakaa maCCM .pumbavu kabisa
Back
Top Bottom