Ni rahisi kuhisi majungu wadau wenzangu,lakini ukweli ndio huo. Kwenye vikao na walimu wenzake anaendesha kwa vitisho huku akigoma kuwasilisha data vikaoni baada ya kuombwa na walimu wenzake.Anawatishia kutowapanga baadhi yao ambao wanaonesha nia ya kutaka kujua hali halisi ya maendeleo ya shule.
Wana jamii, naombeni dawa ya huyu Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mchikichini anakula michango ya wazazi, vilevile anawanyanyasa walimu wenzake kwamba hawamuwezi kwasababu ameiweka manispaa ya Temeke kwenye kiganja chake. Tangu afike shuleni hapa ameshajenga nyumba tatu za ukweli na ana magari...
Ndio ujue hapo ni USANII unaendelea, wakili anatumia taaluma yake kwa kumtega boss wake utadhani yupo mahakamani anamshinikiza amg'oe mwenyekiti wa bodi. Anatumia udhaifu wa sera,sheria na taratibu mbovu zilizowekwa na wanaChama. Mfumo unatumiwa na wajanja kuumiza wengine kwa interest zao...
Mdau fikiri kabla hujapost upuuzi wako, unadhani bandari ni kama ofisi ya uwakili. Kuna taratibu zake za kiutendaji kama unavyoona fani zingine. Kama ukizungumzia wizi basi anza na huyo wakili coz wapo watu wana backup zake wakati akiwa wakili, alifanya usanii mkubwa ili apate pesa ya kwenda...
Baada ya kubanwa na wabunge, ndipo Jaji Werema alisimama na kulegeza msimamo wake kwa kurejesha pendekezo la Serikali kushirikiana na vyombo vingine vya uchunguzi vya nje pamoja na wachunguzi binafsi kufanya kazi hiyo.
Alikubali pia pendekezo la kuitaka Serikali kuja na mkakati wa kueleza nini...
Wadau tusikurupuke kumshambulia mtoa mada kuhusu wizi bandarini,kwa taarifa yenu yawezekana huyo waziri anapanga timu mpya ya kifisadi,jiulizeni ameivunja bodi lakini cha ajabu mwenyekiti amemuacha.....sijui sababu ana uhusiano na EL au sababu ni shemeji yake kamuolea dada yake unyakyusani...
Wadau tusikurupuke kumshambulia mtoa mada kuhusu wizi bandarini,kwa taarifa yenu yawezekana huyo waziri anapanga timu mpya ya kifisadi,jiulizeni ameivunja bodi lakini cha ajabu mwenyekiti amemuacha.....sijui sababu ana uhusiano na EL au sababu ni shemeji yake kamuolea dada yake unyakyusani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.