Mwandishi Prof Michel Chossudovsky wa Global Research ameeleza vizuri sana kwenye kitabu chake kinachoitwa America’s “War on Terrorism”.
Amejaribu kuonyesha ni kwa jinsi gani America inavyotengeneza picha mbele ya uso wa dunia kama hizi Terror Groups ni maadui zake lakini behind the scene wao...
Ni ngumu kuamini ila ni tuhuma tu siyo kwamba ndiyo tayari yuko guilty. Ila ukitaka kuamini jiulize kwanini Kikwete aliiweka kabatini ile list ya wauza unga wakubwa hapa Tanzania, aliona nini?
Ni kweli watu tupaze sauti, enough is enough, alafu watu waache siasa kwenye issue sensitive kama hizi ambazo zinahusu mustakabali wa vijana wa taifa hili. Tunamuomba muheshimiwa Mwigulu Nchemba na yeye ndiyo awe front kwenye hii vita, siyo anagwaya gwaya, wazalendo wa nchi hii wako nyuma yake.
Hizi ni sanaa tu. Ukitaka kuprove hilo, angalia nchi zinazopambana na dawa za kulevya vita huwa inaongozwa na nani, angalia mfano wa Philipine. Na amini usiamini hii vita ikipiganwa kwa dhati watu wataingiza siasa tu, watu wataanza kuja na agenda ya haki za binadamu.
Unajua hiki ulichokisema hapo, hata mimi kinanishangaza sana, tangu niifahamu CDM hakuna wakati ambao inafanya propaganda na siasa nyepesi kama kipindi hiki, sijui CDM wamekumbwa na kitu gani, au sijui ni wale wadau waliotoka CCM kwenda CDM ndiyo wanawafundisha aina hii ya kufanya siasa. Sidhani...
Mimi binafsi hapa nimeshindwa kumuelewa Mr.President. Ni kweli inawezekana wananchi walijisahau kutoweka akiba ya chakula, lakini sasa tunawasaidiaje tayaari wameshakosea na mtoto akiunyea mkono huwezi kukata mkono, serikali ilitakiwa kuwapa chakula cha msaada na kuwapa onyo kuwa siku nyingine...
Mkuu weka akiba ya maneno, haina haja ya kuumaliza upinzani, lengo lililopo ni kuudhoofisha tu. Na hakuna kipindi kigumu kwa upinzani kama kuelekea 2020, wapinzani wanatakiwa kucheza karata vema sana, la sivyo ukawa inaweza kuwa vipande vipande kabla ya 2020. Refer Lipumba's movie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.