WanaJF.
Natumai mubukheri wa afya. Napenda kutoa masikitiko yangu kutokana na utaratibu mbovu wa huduma za Bima ya Afya za NHIF katika hospital ya Muhimbili kitengo cha mifupa Almaarufu MOI.
Maafisa wanaokusanya kadi za Bima ya Afya baada ya matibabu inamchukua mgonjwa SAA 1 hadi SAA 2 kupewa...
H
Hakuna taasisi ovyo kama TANESCO. Wazuri tu kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii lakini uwajibikaji ni Zero kabisa. Hawajaapona ule ugonjwa wa Rushwa
Nakuhurumia Tu. Wenye kujua mahali sahihi pa kuishi watanitafuta kwani si wote wenye kupenda kuishi nyumba za kubanana kwenye mlango wako Jirani kaweka choo. Hizo hata 20,000 kwa mwezi zipo huko
Pia kuna servant quarter yake (almaarufu) banda LA uani chumba kimoja sitting room Na jiko na bafu lake vyote ndani bei 120,000 kwa mwezi kwa miezi Sita pia karibuni
Kutoka wapi? Angalia thamani si umbali unao determine bei. Unataka niamini kuwa nyumba ya udongo ya msasani ni aghali kuliko ghorofa LA buguruni? Any way kila MTU anamtazamo tofauti karibu ndugu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.