Tundu Lissu, Lema na Mbowe watoto wao wote wapo nje ya nchi. Wanasubiri Ruzuku na Madola ya Maandamano kutoka kwa mabeberu.
Wananchi tunasema, maandamano ni haki yao waandamane ila kwa sasa na sisi tupo bize na mambo yetu ya msingi kwenye maisha.
Hakuna kidume yoyote anaweza kuhoji uhalali wa Mbowe kuwa mwenyekiti wa kudumu pale Chadema.
Lissu na wengine wote wanajua ile nafasi ni kwaajili ya Mbowe.
Najua Heche akili hana, hawezi kuwa ameongea cha maana zaidi ya jazba na kujifanya mjuaji. Wakati hawezi kusema lolote kuhusu Mbowe anavyoiendesha Chadema
Najua Heche akili hana, hawezi kuwa ameongea cha maana zaidi ya jazba na kujifanya mjuaji. Wakati hawezi kusema lolote kuhusu Mbowe anavyoiendesha Chadema
Hapa umeonyesha akili unazo chache sana. Lowassa au Tundu Lissu huko Chadema alichukua fomu ya kugombea Urais na Nani?
Hapo tunazungumzia miaka 20 ya uongozi wa Mbowe Chadema.
Yani ni Mwenyekiti wa kudumu au?
Sasa jiulize CCM wamepita wenyeviti wangapi? Mbowe yupo tu.
Huwa anaendeshwa na jazba za kupuuzi sana. Na kujifanya mbabe.
Kichwani hamna kitu.
Pale Chadema wanamjua vizuri ndiyomana uchaguzi wa ndani ya chama walimpiga chini.
Ingekuwa kweli haya unayosema, wananchi wangeshaitoa CCM. Ukiona hivyo jua wananchi bado wanaiunga mkono CCM.
Dola zote huwa zinaangushwa na wananchi wengi ana sio wapigakura wachache
Sijasikiliza alichoongea ila ninachojua Heche huwa na akili ndogo sana.
Ni mtu wa kumezeshwa maneno hana uwezo wa kuchambua mswada wa sheria.
Lazima atakuwa ameishambulia CCM kwa hoja za uongo uongo huku akiicha Chadema na kumuogopa Mbowe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.