Tundulisu ndio msaliti aliposema hawaungani na Cuf kwa sababu amefunga ndoa na CCm na pia CUF ni ccm B. Lakini leo wameungana na CCM B na kuwa ukawa. Zito endelea kuteyea wanyonge hachana na wajinga kama hawa.
kwanza wanawake wengi wanajiuza ni wazuri na pia wanacheza porno ni wazuri na warembo kweli. Pia hapa sio sehemu ya kuja kujifuza kuandika thread au wewe ulianza kujifunza kuandika mada na kujadili jf?
Wanaume wenzangu tunakosea sana tunapofunga ndoa na wanawake warembo. Wanawake wazuri wameumbwa ili watupe starehe kwasababu huwa wanatumia mda mwingi kujiremba na kufanya starehe kuliko kazi hasa.Hawa wanawake wa kiswahili pia ni tegemezi sana na wanatumia kipato kikubwa kuliko wanacho kiingiza.
ZZT huyu jama ana akiri sana ukimsikiliza huwa ana hoja za msingi, tatizo la wanachama wa chadema huwa hawajibu hoja wanakurupuka sana kwa sababu ya chuki na akiri za kushikiwa embu tujaribu kutumia akiri zet kufikiri ndio tufanye maamuzi kama alivyo sema kardinali pengo, tuache kushikiwa akiri...
Wewe hujapewa ruhusa ya kwenda kusoma kwa maana nyingine wewe ni mtoro kazini, sasa unataka msaada gani wakati huna ushaidi kwamba muajiri alikuruhusu ukasome! Hiyo imekura kwako kisheri wewe una makosa hapo hamna msaada wa kisheria labda uangalia njia nyingine.
Acha mawazo ya kijinga mzazi wako jukumu lake ni kukutunza ili ujitegemee na sio kukupa urithi wa mali amekupa elimu ina tosha, mtu kaamua kugawa mali zake alizotafuta, sasa akuombe ushauri wa nini! Amezitafuta mwenyewe sasa wewe unamiuza kichwa eti hakukushirikisha! Je kutafuta ulimsaidia...
Hii habari yako inanikumbusha yaliyotokea KENYA, watu waliandamana kudai haki ya matokeo ya uchaguzi mkuu baada ya kibaki kujitangaza kuwa raisi, watu wengi sana walikufa , majerui walikuwa wengi na wengine nyumba zao zilichomwa hadi leo wako kwenye maema hawakujengewa nyumba. Wale waliokuwa...
Hii habari yako inanikumbusha yaliyotokea KENYA, watu waliandamana kudai haki ya matokeo ya uchaguzi mkuu baada ya kibaki kujitangaza kuwa raisi, watu wengi sana walikufa , majerui walikuwa wengi na wengine nyumba zao zilichomwa hadi leo wako kwenye maema hawakujengewa nyumba. Wale waliokuwa...
Kipindi kile sheria zinatungwa mlikuwa mnasema raisi asihusishwe na kuingilia mchakato wa katiba na hadi kwenye bunge la katiba. Sasa leo mnalalamika raisi aingilie kati! Mbona vigeu geu nyie watu!
Sasa hivi magazeti ya Tanzania yameacha kuandika mambo ya msingi yameengia kwenye ushabiki wa kisiasa. Hii ni hatari sana! Kwenye Tv unaona mtu anaongea vitu vizuri lakini kesho yake kwenye magazeti unaona wameandika vitu vya ajabu.
yaani wewe kichwa chako kina shida! Unaona wizi unatendeka mbele ya macho yako unaangalia tu bila kuchukua hatua? Alafu unakuja kulalamika hapa? Alafu unalegeza sauti eti polisi alikuwepo! Ulinzi si wa polisi ni wa kila raia, hujasoma civics?
Acha dhana ya kibaguzi wewe kama huna hoja ya msingi bora ukae kimya. Wanaopiga kura sio watu wa pwani, pwani ni sehemu ndogo sana ya Tanzania na wajumbe wanaomteua mgombea wa uraisi wa CCm wanatoka nchi nzima. Inaonekana wewe mbaguzi ndio mnaoeneza propaganda eti chadema chama cha kikanda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.