Kuna haja ya serikali kuwezesha wajasiriamali wa biashara hii kwa kuweka masharti kwa wenye biashara hii ifanywe kwa namna isiyohamasisha ngono. Ni huduma nzuri baada ya uchovu wako wa kazi na pale unapohisi viungo vyako kukakamaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana mna haja ya kuwa wabunifu na wajasiri. Dunia imefika katika kipindi ambacho watu wanashindanisha maarifa katika kupata majawabu ya mistakabali ya maisha yao. Ukibweteka utaumia japo sishauri watu wakate tamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.