Nina Laki moja (100000) ninataka external disk ya 1TB. Pesa ipo cash bila zengwe. Mwenye nae kwa bei hiyo anitafute niko Dar. Pia Digital camera inahitajia. 0713807758 au mudisungura@gmail.com
Natafuta Housing ya simu aina ya Samsung C6625. Aliyenae au anayejua zinakopatikana basi asisite kunipa taarifa kupitia 0713807758 au mudisungura@gmail.com
Unajua siku wezi maboss wao ni polisi ndio maana wizi unakomaa sana, eti kisa polisi wanapokea mshahara mdogo. Hiyo guest ni ya kuchunguzwa haraka sana
Udini, ukabila, havina maana cha msingi ni kuwatafuta hao wanaotumwa na mkubwa wao wateke watu na kuwapiga. Lakin bado eti mnasema hii ni nchi ya amani, iko wap hiyo aman?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.