Recent content by Mzee Mitomingi

  1. Mzee Mitomingi

    Picha: Walioathirika na MABOMU Watembelewa na VIONGOZI wa CCM KITAIFA

    hata my wife wako ni ccm damu lakini anaogopa akijionyesha kwa huduma utaka huduma za msingi
  2. Mzee Mitomingi

    Wabunge wa NCCR Kutoka Mkoa wa Kigoma kuunguna na wanaukombozi leo - Bungeni kuwaka Moto

    hakuna mwenye hati miliki na arusha ngangari lazima wachukue kimandolu pigia mstari chwaaaaaaa
  3. Mzee Mitomingi

    Mbunge "Sugu" apata ajali ya gari!

    msemaji wake mkoloni hajafanywa press conferece bado?
  4. Mzee Mitomingi

    Arusha: Kijana wa CHADEMA aliyelazwa hospitali, ahusishwa na ulipuaji bomu

    ila chekechea yake ya kurusha bomu ndio inakubalika
  5. Mzee Mitomingi

    Pinda: Bomu lilikuwa la Kijeshi na lilitengenezwa China

    Chadema na zana za kivita,sare za jeshi kama kawa kama dawa.
  6. Mzee Mitomingi

    Picha-Polisi wapiga mabomu ya machozi Arusha

    mbona husikii kuna maandamano moshi kwani kule hakuna chadema au uonevu kama ambavyo mnataka watu waamini.Wamasai amkeni wachaga wanavuruga mji wenu mmewakaribisha wametajirika sasa hivi wameamua kuwalipa maovu
  7. Mzee Mitomingi

    Mbunge "Sugu" apata ajali ya gari!

    ingekuwa baada ya Mangwea,Langa hatimae Sugu r.i.p brodaaas
  8. Mzee Mitomingi

    Polisi wamtaka Mbowe athibitishe Polisi walivyohusika katika mauwaji ya Arusha, la sivyo...

    fistula ya chadema imeanzia masikioni ndio maana hawasikii
  9. Mzee Mitomingi

    Hali ni Tete, Mabomu Yameanza Kurushwa Tena Jijini Arusha

    sasa unaungananae kuwa bora akimbilie kwa wachoma nyama avue gwanda avae eproni
  10. Mzee Mitomingi

    Wabunge wa NCCR Kutoka Mkoa wa Kigoma kuunguna na wanaukombozi leo - Bungeni kuwaka Moto

    katika duru za siasa za Tanzania Mbowe anapigana uzito wa unyoya.
  11. Mzee Mitomingi

    Wabunge wa NCCR Kutoka Mkoa wa Kigoma kuunguna na wanaukombozi leo - Bungeni kuwaka Moto

    Hamad Rashid wala Mbatia hawezi kushirikiana na juha kama Mbowe,kisiasa mbowe ni mchanga mno.ndio maana hana mikakati ya kuiletea ushindi chadema zaidi ya kuhubiri vurugu
  12. Mzee Mitomingi

    Wabunge wa NCCR Kutoka Mkoa wa Kigoma kuunguna na wanaukombozi leo - Bungeni kuwaka Moto

    NCCR watakuwa wanafiki wakubwa kama watajihusisha na hawa wahuni wakati juzi baadhi ya wabunge wake walishauri hiki chama kifutwe
  13. Mzee Mitomingi

    Wabunge wa NCCR Kutoka Mkoa wa Kigoma kuunguna na wanaukombozi leo - Bungeni kuwaka Moto

    mbona kwenye kuunda baraza la mawaziri kivuli chadema hawakutaka kuvishirikisha vyama vyengine
Back
Top Bottom