Leo Asubuhi Wabunge wa NCCR Mageuzi kutoka Mkoa wa Kigoma watasema neno fupi bungeni kuhusiana na udhalimu unaofanywa na baadhi ya viongozi wa ccm na Police juu ya wananchi na kisha watatoa tamko kali bungeni kwa serkali ya ccm na police wake.
Baada ya Matamko hayo Wabunge hao kwa pamoja watatoka Bungeni na kuelekea Arusha kuungana na watanzania wote katika maombolezo ya Taifa kuelekea uhuru wa kweli.
Lakini kwasasa juhudi kubwa zinafanywa na viongozi wa CCM na Baadhi ya Mawaziri kuwanyamazisha vijana hawa wasiseme kitu Bungeni leo juu ya kile ambacho wamekipanga kwani kitaivua nguo serikali na kuwafanya baadhi ya wabunge wa CCM wenye itikadi za upinzani kuanza kupingana rasmi na kina Mwigulu na serikali ya CCM. Mh Mbatia kwasasa anasemekana kutumiwa kuwashinikiza lakina vijana kutoka Kigoma wanasema liwalo na liwe lazima Serikali iwajibike na wao lazima watie Timu Arusha kwa mapambano ya haki. Vijana wanasema hawezi kusali ummaa kwa pesa za mafisadi
my take Wabunge wa Chama changu CCM ambao hamko mlengo wa Mafisadi na mitandao yao hebu ishinikizeni Serikali kupitia waziri wa mambo ya ndani iwajibike kwa hili swala la Arusha msiendeshwe kama gari bovu na kina lukuvi, nape na mwigulu wakati nguvu ya umma ndani ya CCM ya Nyerere na hata Chadema itawaunga mkono kwa lolote litakalotokea.
Nawatakia kila la kheri Wabunge wa NCCR kutoka kigoma kwa maamuzi yao magumu ya kuleta mshikamano wa kitaifa kwa kuwakacha wana CCM Bungeni leo nakuungana na Watanzania wote katika kupaza sauti ya haki juu ya Damu isiyo na hatia inayomwaga na Police na CCM Mafisadi.
Baada ya Matamko hayo Wabunge hao kwa pamoja watatoka Bungeni na kuelekea Arusha kuungana na watanzania wote katika maombolezo ya Taifa kuelekea uhuru wa kweli.
Lakini kwasasa juhudi kubwa zinafanywa na viongozi wa CCM na Baadhi ya Mawaziri kuwanyamazisha vijana hawa wasiseme kitu Bungeni leo juu ya kile ambacho wamekipanga kwani kitaivua nguo serikali na kuwafanya baadhi ya wabunge wa CCM wenye itikadi za upinzani kuanza kupingana rasmi na kina Mwigulu na serikali ya CCM. Mh Mbatia kwasasa anasemekana kutumiwa kuwashinikiza lakina vijana kutoka Kigoma wanasema liwalo na liwe lazima Serikali iwajibike na wao lazima watie Timu Arusha kwa mapambano ya haki. Vijana wanasema hawezi kusali ummaa kwa pesa za mafisadi
my take Wabunge wa Chama changu CCM ambao hamko mlengo wa Mafisadi na mitandao yao hebu ishinikizeni Serikali kupitia waziri wa mambo ya ndani iwajibike kwa hili swala la Arusha msiendeshwe kama gari bovu na kina lukuvi, nape na mwigulu wakati nguvu ya umma ndani ya CCM ya Nyerere na hata Chadema itawaunga mkono kwa lolote litakalotokea.
Nawatakia kila la kheri Wabunge wa NCCR kutoka kigoma kwa maamuzi yao magumu ya kuleta mshikamano wa kitaifa kwa kuwakacha wana CCM Bungeni leo nakuungana na Watanzania wote katika kupaza sauti ya haki juu ya Damu isiyo na hatia inayomwaga na Police na CCM Mafisadi.