pia wakuu mi ninatrade after news release hususa ni saa nane mchana mpaka saa kumi jioni kwakua cna uwezo wa kutambua trend ya market na muda gani itageuka(trend reversal) kama kuna mtu mwenye ufahamu zaidi juu ya kuingia kwenye trade bila ya news release anawezaje kutambua muda gani aingie na...
habari wakuu kwanza shukrani kubwa sana maana nimejifunza mambo mengi sana hapa sasa ninahitaji msaada je ninaweza kudiposit ela kwa benki ya crdb kwenye live acc yangu kupitia visa acc na je min deposit ni usd 100 maana platform ninayotumia (iq option) inanionesha min deposit ni usd 10 ninaomba...
wakuu naombeni msaada downloading dpeed ya pc yangu ipo chini sana hata kama kuna mtandao mzuri naombeni mnisaidie kama kuna download accelerator nzuri
Hata Archimedes alifanya ugunduzi wakati anaoga ijapokua yeye co wakwanza kuoga ila ugunduzi ni pale unapoweza kujibu maswali haya juu ya udhani huo
HOW? WHY? And significance of it
Bado haijajulikana nan kakosa kwakua mchakato bado unaendelea na kama mtt wa waziri kapata mkopo lakini hajapendelewa kwakua anavigezo shida iko wap afu ni vema ungebadilisha title kwakua ni mtoto wa waziri co watt wa mawaziri
nimejaribu kupitia majarida mbalimbali nmekuta conditions za kuku na bata zinaendana isipokua bata ni siku 28 ambazo ni joto nyuzi 37.8 na unyevu ni RH 60% lakini bata kwangu ni hola
wakuu nna automatic incubator lakini cjapata kifaranga hata kimoja cha bata mara mbili mfululizo lakini mayai ya kuku yanatoka vizuri tu naombeni msaada wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.