Watu wote wangekuwa kama Ragnar Loth humu JF mambo yangekuwa mazuri sana, siku hizi Jf imevamiwa na vijana wa fb comments nyingine zimekuwa za kitoto na kipuuzi hadi inakera.
Mwikimbi acha ushabiki tuangalie uhalisia, tuambie wewe hiyo 100 million imegawanyikaje kwenye matibabu. Kweli kenge kwenye kundi la mamba ni wengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.