Bashe angekuwa mwana Chadema na kumtamkia hayo maneno mbowe ungeskia Msaliti huyo, keshanunuliwa. Wanasahau zitto alivyokuwa na msimamo Ila aliishia kuitwa kibaraka wa ccm
Kiukweli bashe anastahili kupewa onyo, ama karipio Kali n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu wana JF naandika andiko hili kukanusha upotoshwaji Mkubwa unaofanywa na huyu #britanicca kwa kudai ccm inazidi kupoteza watu muhimu ngoja nimweleze huyu kibaraka wa CDM anayetaka kujivika kivuli cha CCM ili kuwatoa kwenye mstari watu wanaounga mkono juhudi za Mwenyekiti wa ccm Taifa...
Unataka ayoke kwa kosa LA
1. Kutoa Elimu bure kuanzia Shule ya msingi mpaka kidato cha NNE?
2. Kujenga reli ya kati kwa Kiwango cha standard gauge ili kurahisisha usafiri kwa watanzania?
3. Kujenga kituo cha kufua umeme stiegler's gorge ili kuwa na umeme wa uwakika
4. Kutoa vitambulisho kwa...
Ndugu zangu wanachadema kila jambo linalotokea linakusudio la Mungu, lakini kwakuwa sisi wanadamu dhambi zetu zimetutenga na uso wa Mungu hata hushindwa kuziona ishara za Mungu kwetu wanadamu zenye kutuletea mafanikio ama Neema.
Binafsi nimewaza sana kwa hili lililopo mbele la Mh. Mbowe kuwekwa...
Si kila jambo twapaswa kulaumu mengine hutokea ili kusudio LA Mungu litimie, sasa ni wakati wa wanachadema kumtoa nkurunzinza kwenye uenyekiti Chadema Taifa. Msipo tumia opportunity hii akibe released hamtomtoa tena na mtabaki mnalalamika wakati hii ndo fulsa pekee kwenu kuwa na demokrasia ya...
[emoji1241]MAKALA
Na Mzazi
HEKO NYINGINE YA RAIS MAGUFULI, WALIOZUSHA HATUTALIPWA NA BARRICK LEO WAMEUMBUKA.
Jana siku ya Jumatano tarehe 20/02/2019 Mzalendo namba moja wa nchi hii Mhe Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa...
Asiwe na wasiwasi tunaanza na swala moja na kuja kwenye lingine, tumeanza na mshahara wake saizi kaanza kutembeza bakuli, kisha tutafata hilo LA kufukuzwa ubunge mwisho kabisa akifika tu akaripot kati ya keko, segerea kwa kosa LA uhaini nae akitoka huko atafanya siasa safi za kipinzani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.