Jana nimeenda HARUSINI Nikakuta MILANGO MIWILI
Wa kwanza umeandikwa WAZAZI NA MARAFIKI WA BWANA HARUSI
Mlango wa pili umeandikwa WAZAZI NA MARAFIKI WA BIBI HARUSINI Mimi nikaingia wa kwanza. Nilivyoingia tu mbele nikakuta milango miwili. Wa kwanza umeandikwa WAZAZI WA PIlI MARAFIKI, nikaingia...
Hapo kwenye hali ya hewa hapo umepuyanga mkuu
Me npo tanga huku full joto
Cyo cri kwenye hali ya hewa naibeba sana Mbeya , kiuchumi , kimiundombinu naibeba sana mbeya
Rais wangu kipenzi Magufuli na Waziri Mwakyembe, mnamfahamu mgombea huyu katika picha wa Chama cha Wanasheria ambaye nyinyi mnapigia kampeni kwa kumpinga Tundu Lissu?
Mnasema Lissu ni Mwanasiasa na kwamba akigombea ataingiza siasa ndani ya TLS, na huyu GODWIN MWAIPONGO je?
Hiv kutafsiri Kiswahili kutoka Kiingereza namba inazidishwa kwa tatu?
au Kiingereza kinagawanya namba iliyo kwenye Kiswahil kwa tatu?
#road signs
#dereva_ajali_zinaepukika
#zingatia_alama_za_barabarani
Tayari wanaigeria kadhaa washa uawa na wengine wapo hoi hospitali- ila hakuna mbongo aliye athirika na kinachoendelea huko Pretolia West mpaka sasa-- tarehe 24 na 25 mwezi huu- ndo wamepanga kumchakaza kila aina ya mgeni ilimradi tu akiwa ni mwafrika-
Ushuz tena mkuu
Aya bhna ila mm bado napuyanga kurudisha msimbaz wangu
Alaf nmeuza buku Mia mbili tu mpk dk hii
Wateja hakuna wanakaz ya kuonja tu
Yan mpk zikiisha nitakuwa nmeonjesha kam za buku 6 hvi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.