Hili zoezi limefanyika kwa mapungufu mengi sana. Hofu kwa wafanyakazi ambao hawajahakikiwa ni mishahara yao kuja kuzuiwa siku za usoni ambapo itawapa usumbufu wale wasio na hatia
VETA bado wako wengi sana. Vyuo vilivyotembelewa na NECTA havizidi 7 kama sikosei, na vipo zaidi ya 25 Tanzania nzima. Kuna kanda 8 pia na ofisi za makao makuu ambazo zote watumishi wake hawajaonekana kwenye ripoti inayoonesha status ya ukaguzi wa vyeti vya taaluma kwa taasisi za umma. Wahanga...
Watanzania wanajua nini kilitokea baada ya ripoti ya uhakiki wa vyeti vya taaluma yani kidato cha nne na sita kutolewa ikiwa ni baada ya kusitisha ajira mpya, nyongeza ya mishahara, kupandishwa vyeo na utekelezaji wa miundo mipya ya utumishi.
Kwa sasa taasisi nyingi za serikali kama TANESCO...
Kwa takribani karibu mwaka mmoja sasa shughuli za kampuni ya D9 zinaendelea kufanyika nchini.
Wanachama wanaendelea kushawishi members wapya waendelee kujiunga hata kwa kuwakopesha pesa and of course they get paid every week.
Kulipwa tu it doesn't matter je hii kampuni ni halali hapa Tz...
Punyeto haina madhara km inafanywa mara chache. Ila wapo ambao nikijitabia yaani ULEVI kiasi kwamba akiona maji na sabuni tu tayari anaenda mnara. Akianza kuchua basi mawazo yote yapo kwenye kupiga bao na akili itajitransform kumaliza mapema. Hivyo na kwenye real game akili na mwili unakuwa...
Matatizo ya kuwahi sn ni matokeo ya kuendekeza punyeto hasa kipindi cha balehe. Waathirika wengi ni kati ya miaka 18 mpk 29 baada ya hapo linacease. Jijajua huyu mdada hao mabwana zake ni wavulana au wanaume. Hata hivyo physical control pamoja na psychology positive ya dem inaweza kuondoa kbs...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.