Umesahau koo zao pia zina umuhimu mkubwa maana bila hizo koo wasingekuwepo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
TISS ni idara ya usalama wa nchi sasa kama kuna watu wanahamisha dolla kinyemela wanalinda usalama wa nn? Usalama ni pamoja na uchumi wa nchi, maliasili za nchi, usalama wa watu physically, na wao si kwenda site kutuliza bali ni mashushu wakiona kuna hatari wanatoa tahadhari kwa vyombo vingine...
Ukiambiw mkamate kuku anazurura ili umchinje ni dhahiri kuna atakayetumia upnde na mishale ili amlenge mguu aweze kumbasa, kuna atakayekimbizana naye mpaka amdake ili amchinje, lakini kuna atakayetumia punje za mahindi akimrushia ili amnase.
Chadema wanatumia method rahisi tu kuhakikisha...
Wananchi wengi wanalalamika hasa suala la upendeleo wa wazi unaoonyeshwa na wasimamizi wa eneo tengwa la barabara yaani (Road reserve) tunaona serikali inafanya jitahada za kuwaondoa wavamizi sawa ila idara hii imekuwa sugu kwa Rushwa maana kuna watu wengi wapo na hawaondolewi na wamekaa miaka...
Chadema imetoka mbali sana, hizi ni Pro-ccm agenda za kuivuruga Chadema ambayo imekuwa tishio kwao.
Kwanza uliyeleta hii habari haina ukweli hata kidogo na ni ya kitoto sana, kuwa kwanza ndio uandike habari chura ww
Hivi mnalalamika nini wanyanyasaji wakubwa nyie, Fei analipwa pungufu mara tano ya Morison? Morison anarukaruka kama chira tu huko uwanjani na bado mijitu inamnang’ania mchezaji eti ng’ong’o ng’ong’o pumbafuuuu zenu hamkuona hayo mda wote mliokuwa mkimuimba?
Na je Hi clause ya kuvunja mkataba...
Sis wakazi wa Dar bila umeme ni sawa na kutupwa jehenam ukiwa hai. Yaani kwa sasa hatulali usiku maana kuna joto balaa.
Ukiweka kitu kwenye fridge kinaoza maana umeme umekuwa wa mgao na hawa wachumia tumbo hawaongei lolote wao wamejiwekea Jenereta kwa kodi zetu hawaoni taabu.
Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.