Recent content by mzalendo-wa-tz

  1. mzalendo-wa-tz

    Utata, upotoshaji na maoni yangu kuhusu mchoro wa Monalisa na Da Vinci Code

    Samahani The bold. Kwann hiyo picha imeitwa Monalisa? Ni kwamba huyo nwanamke aliyechorwa alikuwa anaitwa Monalisa?
  2. mzalendo-wa-tz

    Utata, upotoshaji na maoni yangu kuhusu mchoro wa Monalisa na Da Vinci Code

    Mimi sijaona urefu wake. Ingawa nahitaji kusoma zaidi kuhusu hii picha ya Monalisa
  3. mzalendo-wa-tz

    Ukimya wa wanasiasa juu ya fao la kujitoa ni mtego wa kuwatumia wafanyakazi 2020

    Roho yangu inauma kila nikumbukapo fao la kujitoa. Hapo ndio naanza kuona dalili ya kutopendwa na mkuu wetu. Walah bora niache kazi. Yaani hela yangu unanipangia muda wa kuichukua halafu nyie mnaipangia matumizi yenu? Siwezi vumilia kama vyama vimeshindwa kututetea basi hatuna budi kujitetea...
  4. mzalendo-wa-tz

    Kutoka Bungeni: Fao la kujitoa halipo badala yake limeletwa fao la kutokua na ajira

    Yaani balaa, mfano mimi nina mkataba wa mwaka mmoja wa awali maana ndio ishakula kwangu hii aiseee
  5. mzalendo-wa-tz

    Kutoka Bungeni: Fao la kujitoa halipo badala yake limeletwa fao la kutokua na ajira

    Kwann serikali inipangie masharti kwenye hela zangu tena jasho langu? Kwanini? Si wajipangie masharti kwenye hela zake za kodi? Nani ajuaye kama atafika hiyo miaka wanayotaka tutoe hela? Kumpa mtu hela kwa mafungu zitamsadia nini kama sio atanunulia vocha hadi kuisha bila hata kufungua biashara...
  6. mzalendo-wa-tz

    Tamko la Pamoja kati ya vyama vya wafanyakazi na Asasi za Kiraia kuhusu Kuzuiwa Fao la Kujitoa

    Yaani hela ni zangu halafu nipewe mkopo? Walah hizi ni dharau. Sisi tunaofanya kazi za mikataba, mikataba ikiisha tupewe chetu tuwe wajasiriamali maana huku nako kwenye ajira makato yamezidi. Serikali iache kupanga masharti kwenye hela zetu ipange masharti kwenye hela zake. Kwa maisha haya ya...
  7. mzalendo-wa-tz

    Tamko la Pamoja kati ya vyama vya wafanyakazi na Asasi za Kiraia kuhusu Kuzuiwa Fao la Kujitoa

    Haingii akilini serikali inilazimishe kuingia kwenye mfuko wa jamii na pia initungie sheria ya kuchukua hela zangu. Mimi kwa sasa nina mkataba wa miaka 2 na baada ya hapo ninataka nijiajiri. Sasa unaposema nisubiri miaka 55 ndio nichukue hela yangu si ni kunipa tu umaskini? Kama vipi acheni...
  8. mzalendo-wa-tz

    Lipumba: Sina mpango wa kuhama, bila mimi CUF haipo

    Lakin huyu jamaa si aliwatelekeza wenzake jangwani (wakati wa kampeni na uchaguzi) akitarajia wafe kwa njaa (washindwe uchaguzi)? Napata wakati mgumu kumuelewa Profesa. Anaidhalilisha elimu yake aiseee. Nishaanza kutamani nisiwe Profesa kama akili zenyewe ndio hizo
  9. mzalendo-wa-tz

    Hivi ni Vyuo vinavyoharibu Elimu ya Vyuo vikuu vya Tanzania

    Mmmhh kama wewe ni mwanafunzi wa Masters basi huko Mzumbe kuna shida kubwa. Unaandikaje dissertation yako wewe? Au ndio na wewe unaandikiwaga pale UDSM. Huo uandishi hata form six hawezi andika;
  10. mzalendo-wa-tz

    Chuo kikuu kipi ni bora kuliko vyote kati ya hivi Tanzania?

    Muulize JPM hilo swali. Anajua kuwa udsm baba lao hata akakiri hadharani kwamba baada ya kuchunguza amejithibitishia kwamba udsm ni vipanga tu. Pia kuna baadhi ya organization hufanya tafiti na ku-rank vyuo kidunia, bara au hata katika level ya nchi. Last time nimeangalia udsm was the best in...
  11. mzalendo-wa-tz

    Kwanini wanawake wengi hawapendi kutumia condom?

    Dawa ni kupima ngoma tu then baada ya hapo ni nyama kwa nyama. Tena siku hizi kupima ukimwi sio mpka muende hospital, kuna vile vidude vinaitwaje sijui wanavyopimia ukimwi. Unavinunua vya kutosha au kama una rafiki yako daktari unamuomba akupe. Ukipata demu mnapima then mnakula raha. Honestly...
Back
Top Bottom