Recent content by mzalendo kwanza

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwa wale tunaotembea na waume za watu

    Haki za vimada.. Katiba mpya izingatie hili
  2. M

    JamiiForums Tanzania Bungeni: Ripoti ya Jairo yawasilishwa, wabunge wachachamaa!

    Atasulubishwa mwenyewe au hadi katibu mkuu kiongozi?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hoja ya Madaraka Nyerere kuhusu barabara ya Serengeti

    bwana utingo jifunze kuwasilisha mada kwa takwimu sahihi na ushahidi wa kutosha..kuna tofauti kubwa kati ya "national park" na "game reserve" serengeti ni national park na hakuna shughuli zozote za uwindaji but waarabu wapo loliondo game reserve na wanaruhusu kuwinda kwenye reserve.ENVIRONMENTAL...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mgomo wanukia UDOM wa kutokuwa na field

    ivi kweli upo serious kwamba kuna degree programme hazitakiwi kufanya mafunzo kwa vitendo?NNA WASIWASI NA UFAHAMU WAKO MKUU
  5. M

    JamiiForums Tanzania Migomo Chuo Kikuu cha Dodoma na Maslahi ya Wahadhiri & Wanafunzi

    Mgomo chuo kikuu cha dodoma, leo ni waadhiri wote na wanachuo wa college ya education,kuna kamdudu gani tena udom au watasema tena ni influence ya chadema
  6. M

    JamiiForums Tanzania wanaJF wengi wana-lack objectivity when it comes to UDOM issues.

    UDOM ina watu zaidi ya 30,000 so 5000 wakiwa CCM huezi conclude kuwa wana Udom ni wana CCM..Ukitaka kuthibitisha hilo njoo kwenye michakato ya uchaguzi chuoni...wale wote wanaodhaniwa ni vibaraka wa ccm huwa wanaumbuka sana...SIDHANI KAMA UTAHITAJI MWEKEZAJI KUJA KUKUELEKEZA HILI HADI...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Tamko la Vijana 'WASOMI' wa vyuo vikuu Mkoa wa Dodoma Dhidi ya wabunge wa CHADEMA

    NAOMBA USIPOTOSHE UMMA NA UKANUSHE KAULI YAKO KUWA HILO NI TAMKO LA WASOMI MKOA WA DODOMA...we ni kiraka wa CCM usiye na haya mbele ya umma kwani mimi binafsi nipo chuo kikuu cha dodoma na hilo tamko sijalisikia hivyo hilo ni tamko lako binafsi lisilo na msingi wowote mbele ya jukwaa la...
Back
Top Bottom