Recent content by MZALAMO

  1. M

    KERO Mabasi ya kichina ni matakataka. Sijui TBS iko wapi

    Tatizo ni Latra. Haya mabasi D14 mwanzo yalikataliwa kuingizwa nchini kutokana na kutokukidhi vigezo lakini baadaye yakaruhusiwa.
  2. M

    Wasukuma ni jamii ambayo bado sana kustaarabika

    Kabla ya kukashifu kabila la wengine taja kwanza kabila lako.
  3. M

    PreGE2025 Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC): Wote waliokamatwa kwa kudai haki, wakiwemo viongozi wa vyama vya kisiasa, waachiwe haraka na bila masharti

    Sisis wananchi tumechoka na uchaguzi wa maigizo. NO Reforms NO Election si agenda ya waislam, wakristu, ACT, CCM wala Chadema. Hiyo ni agenda yetu sisi wananchi tuliochoka na uchaguzi wa maigizo. Tunahitaji HAKI itendeke katika uchaguzi.
  4. M

    Inadaiwa kuna kundi fulani CCM linatamani Lissu ashinde ili wapate sababu ya kumpumzisha mtu wao

    Je watanzania wamejiandaa kwa mabadiliko Oct. 2025? Sunami linalokuja si la kawaida!!
  5. M

    Sauti za wapiga kura Uchaguzi wa CHADEMA zavuja. Wajumbe wamkataa Mbowe, wanamtaka Lissu

    Kazi ipo, plan B nayo imegoma mwamba kakalia kuti kavu.
  6. M

    PreGE2025 Tundu Lissu: Chama hakitaokolewa na mtu ambaye ameshakiongoza kwa miaka 21. Namuokoa Mbowe asiwe 'Mugabe'

    Sawa chuma chetu tupo na wewe CCM wamelala siku wakiamka watakukuta upo Ikulu.
  7. M

    PreGE2025 Baadhi ya Wajumbe Mkutano Mkuu CHADEMA wamkataa Tundu Lissu

    Lissu ni game changer kwa sasa katika siasa za Tanzania, atabadili upepo wa siasa za Tanzania muda mfupi ujao.,
  8. M

    Haya ndio makabila yenye kuongoza kwa kuwa na Wanawake wenye viburi hapa Tanzania

    Kwa dunia ya sasa mwananamke yeyote wa kabila lolote kama huna pesa atakuletea kiburi tu.
  9. M

    Nakujuza, Kuanzia 2030 nusu au zaidi ya Watanzania watakuwa Wasukuma

    Umesahau Lindi wanakuja kwa kasi, Mara wilaya ya Bunda, Singida, Kigoma, wengine wameshavuka mpaka hadi Zambia.
Back
Top Bottom