Sisis wananchi tumechoka na uchaguzi wa maigizo. NO Reforms NO Election si agenda ya waislam, wakristu, ACT, CCM wala Chadema. Hiyo ni agenda yetu sisi wananchi tuliochoka na uchaguzi wa maigizo. Tunahitaji HAKI itendeke katika uchaguzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.