Ondoa upuuzi wako..., Zanzibar inataka kujitoa na sio kujitenga ktk muungano wacha kuongopea Watanganyika.
Iliojitenga ni S.Sudan.
Wee ni kilaza kwanini ukaitwa muungano wa Tanzania na sio Tanzania?
Sidhani kama waliifuta kwa roho safi, na ikiwa kama Watanganyika walifanya hivo bac Nyerere alikosa kufikiri kwa kina na alitenda kosa kubwa sana, kwa7bu bado Watanganyika tunaihitaji Tanganyika na hatuwezi kumfuata Nyerere kila kitu.
Suala la muungano si la kulazimishana, ikiwa Z'bar au...
Upumbavu wako na upuuzi wako...!!!! Ha..!!! ndio umejikaza kufiria hapo, ama weee ni kilaza cha kutupwa.
Wee unadhani huko Z'bar ya leo ni ile ya Karuke na Nyerere.
Nanukuu kutoka kwa Karume: "Koti likikubana utalivua, maanake huu muungano ni kama koti ukiwakaba watajitoa"
According to...
Ama wee Ngo'mbe kweli, tena ngo'mbe chotara....!!! hahahahahahahaha...!!!!!
Ikiwa hamwataki tutawapeleka Zanzibar kwa Waislam wenzao, na huo ujinga wenu usio na maana.
Weee chiziiiiiiiiiiii !!!! sasa hapa muhimbili tufe kwa7bu ya hao docta uchwara wa Taz, wacha Wairan waje; maana mimi nina appointment ya surgery baada ya wki 3 angalau nimepata faraja.
Huyo Chombo ni mpumbavu tuu..! huyo ni sawa na wawakishi wa Dole na Chwaka (ccm) kwa UFUU TUNDU NA kukurupuka.
Kama ni mwanamme aende huko Magomeni akaseme pumba zake, ubunge wenyewe kapewa kwa njia ya wizi wa kura kwa hio wacha ATETEEE muungano.
Labda isambaratike hio akili yako ya jiwe, isio na uwezo wa kufikiria hata maana ya UZALENDO.
Nadhani kama ni Ugaidi basi hao Madaktari wenu waliogoma ndio nambari 1, wauwaji wakubwa.
Huyu mleta mada ni mzushi tuu, kilichotokea MUAMSHO walipanga kufanya mhadhara viwanja vya LUMUMBA lakn wamekataliwa na mhadhara ukahamishiwa msikiti wa m-buyuni viwanja vya Malindi na watu walifurika sana kuliko kawaida na hvo kupelekea askari kuja kiwanjai ndicho alichokiona huyu mleta mada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.