Zanzibar just now hali ya hatari

zanzibar ni ndogo sana kama itatokea vita kati ya raia na polise ni mauaji makubwa sana ya raia wasio na hatia kupoteza maisha eeehh mungu epusha haya ili kuwaokoa akina mama na watoto kwani wao ndio wahasirika wakubwa katika vita amin.
 
Nimefika sasahivi Zanzibar, ninachokiona LIVE ni mbio za Polisi na Wananchi waliovalia kiarabu cha ajabu wanaelekea North ya Zanzibar town eti Uamsho wanakutana hapo katika Viwanja vya Lumumba je Mkutano ni halali au haramu? magari mengi yenye kelele na bendera za Uamsho

Haya nayo tuyaandikeni Watanganyika...

smz.gif
 
Nimefika sasahivi Zanzibar, ninachokiona LIVE ni mbio za Polisi na Wananchi waliovalia kiarabu cha ajabu wanaelekea North ya Zanzibar town eti Uamsho wanakutana hapo katika Viwanja vya Lumumba je Mkutano ni halali au haramu? magari mengi yenye kelele na bendera za Uamsho

Aaa argh! Waacheni wapigwe marungu na polisi, vunja viuno
 
Back
Top Bottom