Meljons
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 3,085
- 1,360
Kwa amani ya nchi, polisi watumie busara, waache wananchi watumie haki yao ya kidemokrasia ya kukutana na kutoa mawazo yao. polisi walinde amani tu.
wewe nawe UAMSHO
Kwa amani ya nchi, polisi watumie busara, waache wananchi watumie haki yao ya kidemokrasia ya kukutana na kutoa mawazo yao. polisi walinde amani tu.
Nimefika sasahivi Zanzibar, ninachokiona LIVE ni mbio za Polisi na Wananchi waliovalia kiarabu cha ajabu wanaelekea North ya Zanzibar town eti Uamsho wanakutana hapo katika Viwanja vya Lumumba je Mkutano ni halali au haramu? magari mengi yenye kelele na bendera za Uamsho
Nimefika sasahivi Zanzibar, ninachokiona LIVE ni mbio za Polisi na Wananchi waliovalia kiarabu cha ajabu wanaelekea North ya Zanzibar town eti Uamsho wanakutana hapo katika Viwanja vya Lumumba je Mkutano ni halali au haramu? magari mengi yenye kelele na bendera za Uamsho