simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Karume awaambia wana CCM msihofu, awafananisha uamsho na waamsha daku. Soma zaidi hapa Karume awatoa khofu wana CCM | Mzalendo.net. Msaada -umemuelewa vipi Dkt? Is he for or against uamsho?
karume ana rangi flani ya kiarabu na kiongozi mkuu wa uamsho ana rangi hiyohiyo
nionyeshe pumba hapo!!!!kwani uongo kuwa karume ana rangi ya kiarabu?au kiongozi wa uamsho hana rangi ya kiarabu!!!!i mean features which includes skin colorPumba .....! none sense.