Recent content by Mzaham RM

  1. Mzaham RM

    Dr. Ramadhan Dau, Asharose Migiro na Mathias Chikawe wateuliwa kuwa Mabalozi

    ok mkuu mi ckuwa na habari kama Dau ndio afisa mwajiri pale na eala ckutambua kuwa pale wagala hawana nafac Sent from my TECNO S9 using JamiiForums mobile app
  2. Mzaham RM

    Waziri Nape Nnauye awasimamisha kazi vigogo wa TBC kutokana na utendaji usioridhisha

    Ili kufikia lengo lake, Serikali ingefukuza wafanyakazi wake wote kisha ikaajiri wapya.
  3. Mzaham RM

    Dr. Ramadhan Dau, Asharose Migiro na Mathias Chikawe wateuliwa kuwa Mabalozi

    hapo ndio nami napokosa jibu. kuna wakati watu wanapaswa kuelewa c kila muislamu aliepo kwenye cheo ni mdini. halafu bado mtu anapaswa kusimamia tu dini yake. maana kila mtu anaamini kuna Mungu. je nae kesho akisema ameondolewa pale kwa imani ya dini yake?
  4. Mzaham RM

    Dr. Ramadhan Dau, Asharose Migiro na Mathias Chikawe wateuliwa kuwa Mabalozi

    Na hilo ndio ninaliliona. wengi wanashindwa kulisema wanazunguuka tu.
  5. Mzaham RM

    Nimnunulie zawadi gani hii siku ya valentines?

    Nafikiri pesa hiyovungeongeza kwenye matumizi ya familia kisha yeye Valentine wako ukamuojesha real love kila siku na sio kusubiri siku maalum.
  6. Mzaham RM

    Mkuu wa Wilaya Urambo mkoani Tabora awafuta kazi wakuu wa shule 10

    Dah sasa kila mwenye nafac akifukuza wa chini yake, nchi itasogea kweli?
  7. Mzaham RM

    Sifa za mwanamke wa kimachame

    Wanachukia real ama wanabeep?
  8. Mzaham RM

    Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mwenye kazi na kipato kizuri

    Kawaida kioa mtu na tabia yake. hatupaswi kuhukumu wengi kutokana na tabia ya wachache. ama kuhukumu wote kutokana na makosa ya wengi. Ctl wapo wasomi na wana tabia njema sana!
  9. Mzaham RM

    Mkoa wa Tabora washika nafasi ya mwisho Mtihani wa Darasa la 7

    ni zaidi ya Big G kama utapenda unaweza kuijia tu....
Back
Top Bottom