Recent content by MZABIBUASILI

  1. MZABIBUASILI

    JamiiForums Tanzania Kwanini vitanda vingi huwekwa pembeni mwa chumba?

    Wengi wanalala store ili iwe rahisi kuviona vitu vyao kwa urahisi. Nimekumbuka maisha ya Chuo
  2. MZABIBUASILI

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kujitowa UKAWA

    Baada ya kukatwa sasa umeamua kuja kutujazia ujinga wako huku enheeee. acha utoto wewe. na ninakwambia na bado sana maana mmeanza kula kule mlikoweka mboga.
  3. MZABIBUASILI

    JamiiForums Tanzania UKAWA watangaza rasmi kususia vikao vyote vya Bunge vilivyobaki kutokana na ukiukwaji wa kanuni

    Inarushwa live na chombo kipi cha habari?
  4. MZABIBUASILI

    JamiiForums Tanzania Lowassa amuweka Kikwete kitanzini

    jembe hilo
  5. MZABIBUASILI

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanaweweseka

    Ni hotuba zipi na za viongozi gani mahiri unaowasifu kuwa chadema wanaweweseka kutokana na hoja za act?? Au mtu mmoja ndani ya act sasa amebeba jina la viongozi mahiri ndani ya act??
  6. MZABIBUASILI

    JamiiForums Tanzania Vurugu Ilula: Mwananchi afariki, Kituo cha Polisi chachomwa moto

    Eee kibao kimeanza kugeuka ee eti PT Piga Tuu. imeanza kwao. Yangu macho
  7. MZABIBUASILI

    JamiiForums Tanzania Chato: Mtoto Yohana Bahati (Albino) atekwa, akatwa viungo vya mwili, Azikwa kwa ulinzi mkali

    Amekutwa ameshaaga dunia na mamake mzazi yuko Bugando hospital akiwa anakula kwa mipira. maana na yeye alijeruhiwa kwa kukatwakatwa kwa mapanga. Tena nasikia mama huyu alikuwa ana watoto 3 wote ni albino. Kwa hiyo wamebaki wawili. Pole kwa mama huyu. Huwa nafikiria sana kama albinism ni utajiri...
  8. MZABIBUASILI

    JamiiForums Tanzania CHADEMA under UKAWA Dodoma.

    Pole sana tutasubiri ee subiri mwendo wake mwenyewe utakubali. Kuna msemo husema heli kulambilizia kuliko kula kavu. Kikwetu tunasemaga kiba ukunavilidza kuliko ukulumanga
  9. MZABIBUASILI

    JamiiForums Tanzania CHADEMA under UKAWA Dodoma.

    Kiukweli hakuzuia .polisi walikuwepo kuulinda mkutano. Kamanda mwakibinga alifanya mkutano huko vijijini.
  10. MZABIBUASILI

    JamiiForums Tanzania CHADEMA under UKAWA Dodoma.

    Jana chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tulifanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya barafu hapa mjini dodoma. Kiukweli watu walijitokeza kwa wingi sana na mwishoni tuligawa kadi na ziligombaniwa kama mwana mwali. WANANCHI WAKIWA WANAMSIKILIZA KAMANDA KIGAILA. STAY CONNECTED MAANA MOTO...
  11. MZABIBUASILI

    JamiiForums Tanzania UVCCM/Makonda hawajampiga Jaji Warioba

    Mimi nikuulize swali. Wale walioshika mabango yanayoelezea kuwa katiba wameielewa na wenye maamuzi ni wananchi ndiyo wenye maamuzi ni vijana wa chadema? It doesnt make sence kama chadema wanaweza kufanya vurugu ilihali wao ndiyo wanaunga mkono maoni ya jaji warioba. Tell me
  12. MZABIBUASILI

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yaitesa CCM Kyela

    Pigeni kazi wao wanapokesha kuinenea mabaya CDM siye twasonga mbele
  13. MZABIBUASILI

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri: Mkutano wa Mwenyekiti CCM Taifa, Uwanja wa Majimaji Songea

    Bro usisahau kutupia picha ili Lumumba waelewe somo
  14. MZABIBUASILI

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri: Mkutano wa Mwenyekiti CCM Taifa, Uwanja wa Majimaji Songea

    naona kwa picha hii umepumua maana inawezekana ulikuwa unahisi leo huna chako ukienda kusign lumumba but i believe that hiyo picha ilipigwa b4 mkutano haujaanza kwa 7bu haijawahi kutokea hata mwenyekiti wa mtaa akiitisha mkutano wa cdm wakatokea watu wa dizaini hiyo.
Back
Top Bottom