Naomba kutoa ushuhuda.
Mwaka jana na huu mzima nilikua nikipambania mrija wa asali.
Kuzunguka mikoa kadhaa ya hapa Tanzania kufanya interview mbalimbali
zote nilikosa/kufeli
Mwaka huu nilifanya interview za utumishi kadhaa, nilikosa na baadhi niliingia oral
Na leo hii mojawapo Mungu...
hapa ni changamoto kweli kweli
maana ukisema uangalie pdf kila siku website ya psrs duh kwa mwaka mzima ni kazi sana
maana kwa sasa hivi tu inabidi uangalie website kutwa mara tatu kama dozi
asubuhi baada ya kuamka
mchana wakati wa kula
na usiku kabla hujalalala
ukisema usubirie za kanzidata...
ujerumani asipoacha siasa kwenye mpira hatoboi, ajifunze kwa iran baada ya kichapo cha muingereza jana imebidi aimbe nyimbo ya taifa akaachana na siasa karudi mpirani na umeona amepata matokeo
sasa watu wanaziba midomo kwenye picha ndo nini
wapigwe tu
Mathayo 7:15-23
15 Mjihadhari na manabii wa uongo wanaokuja kwenu wakijifanya kondoo wasio na madhara ingawa ni watu hatari kama mbwa mwitu.
16 Mtawatambua watu hawa kwa matendo yao. Mambo mazuri hayatoki kwa watu wabaya, kama ambavyo zabibu haitokani na miiba, na tini hazitokani na mbigiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.