Hahahha unachekesha my dada joyhope huyu jamaa alikiwa anapikwa ndo maaana hakuwai kusikika kwa media maana hapa bongo bla media kkusikilizisha kwa raia hawakuji ss ndo mda wake wa kusikika kwa kasi kama unavyoona
Aoni kuwa anajizalikisha kwan kasema mwenyewe ametumikia TAIFA kwa zaidi ya miaka30 akiwa Mbunge ssa swali ndan ya hyo miaka ya utumishi wake kipa kizuri na cha maana kwa raifa amekifanya ili atushawish watz kumwamini maneno yake 30 umeshindwa je 5ndo uweze tehh hyo ngonjera
Cku zote aliyezama ajui niwakat na mda gan mwokoaji anakja kumwokoa ndo ilivyo kwa hyu jmaa weng wetu atujajua kama ndo anataka kulinsuru taifa letu makongoro mkombozi wa wanyonge sbr utaona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.