Recent content by my king

  1. M

    Ushauri aina bora kilimo cha mazao ya kudumu Mkuranga

    Panaitwa Mibulani, maji nategemea mvua mtaji, mtaji upo kiasi, aina ya vipando naomba ushauri wenu.
  2. M

    Ushauri aina bora kilimo cha mazao ya kudumu Mkuranga

    Habari wadau humu ndani. Nina shamba lenye ukubwa wa eka 30 Wilaya ya Mkuranga ndani ndani huko. Mipango yangu ni kupanda mazao ya kudumu eka 20 kati ya hizo 30 msimu wa masika yajayo. Naomba muongozo aina ya mazao ya kupanda, wapi nitapata miche bora, na ushauri elekezi wa utunzaji wa miche...
  3. M

    Ushauri aina bora kilimo cha mazao ya kudumu Mkuranga

    Habari wadau humu ndani. Nina shamba lenye ukubwa wa eka 30 Wilaya ya Mkuranga ndani ndani huko. Mipango yangu ni kupanda mazao ya kudumu eka 20 kati ya hizo 30 msimu wa masika yajayo. Naomba muongozo aina ya mazao ya kupanda, wapi nitapata miche bora, na ushauri elekezi wa utunzaji wa miche...
  4. M

    Fursa ya Kilimo cha Korosho Manispaa ya Lindi

    Tupe basi dondoo tuanze process za kupata maeneo. umeutelekeza huu uzi Mkuu
  5. M

    Ushauri: Bustani ya Miti ya Matunda katika Nyumba

    Zanzibar spices unataka kuhama Zanzibar?
  6. M

    Naomba uniulize chochote kuhusu kufanikiwa katika Biashara na Ujasiriamali

    Mkuu ONTARIO kwa kilimo cha Muhogo unachukua muda gani kupanda mpaka unavuna.
  7. M

    Wakuu, njoo tujielimishe kuhusu hisa za Vodacom

    Mwisho wa kufanya manunuzi ni lini?
  8. M

    Tunawakaribisha wanasheria, wahasibu, wahandisi, watawala, wawekezaji...

    Bado tunakaribishwa? naomba nikaribie Bi Zainab, muongazo tafaadhal.
  9. M

    Fursa ya kuwekeza kwa msingi mdogo

    Nataka kuwekeza plan B taratibu zipoje
  10. M

    Business ideas (Bure)

    Ushauri wadau !!!!!!!!!
Back
Top Bottom