mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,203
- 44,651
Acha nikae pembeniBaba sikilizia mlio tu!!! Hao jamaa hawana maana kwanza hata bei ya shares si halisi kulinganisha na ukwasi wa kampuni!
Acha nikae pembeniBaba sikilizia mlio tu!!! Hao jamaa hawana maana kwanza hata bei ya shares si halisi kulinganisha na ukwasi wa kampuni!
Sasa kama faida unapata baada ya mwaka si bora upeleke hizo hela vikoba?Kila baada ya mwaka mmoja means report ya fedha ya mwaka hutoka ambayo huonyesha kama kampuni imetengeneza faida,makampuni mengine mwaka wao wa fedha uanza January to December wengine kama serikali june up to may
Sio wote wana pesa za mawazo kama zako wapeleke vikobaSasa kama faida unapata baada ya mwaka si bora upeleke hizo hela vikoba?
HAWAJUI WENGIWAO,NILIMUULIZA MTTU KITU AKANIAMBIA YEYE KAAMBIWA MAMBO YA KUTUAMBIA NA KUTUSHAWISHI,NNJE YA HAPO HAJUI KITU KUHUSU HISAAsante lakini kwanini vile vibinti vya pale Mliman city havitoi ushirikiano mpaka tunawaza kuna chezo, unamuuliza mtu maswali muhimu anakwambia kasome Prospectas, wangapi wanajua uelewa wa lugha ya biashara?
Anyway nitajaribu kupata kadhaa nione matokeo yake
hakikisha vinapanda zaidi ya 4% lasivyo vinaweza kupanda ukapata hasara bila kujua. chapili sio unanunua hisa tu angalia je hio fedha yako ukuweka kwenye biashara yako au ukinunua hisa ipi itakuwa na manufaa.Nawashukur sana Vodacom kwa kutuletea suala la uwekezaji wa hisa inalipa na nimeshanunua vipande vyangu kazaa nasubiri kupanda kwa kipande tu nifanye yangu.
tutajua kama kampuni imepata faida au hasara je watatushurikisha katika kufunga hesabu za mwaka kujua kama imepata faida au hasaraKiwango cha chini cha idadi ya hisa ni 100, kiwango cha faida kitategemea na faida ya kampuni mara baada ya kuondoa tax.
Kila kampuni ambayo inauza hisa lazima itoe financial statements zake kila mwaka na huwa wanatoa kila robo mwaka.tutajua kama kampuni imepata faida au hasara je watatushurikisha katika kufunga hesabu za mwaka kujua kama imepata faida au hasara
Nataka hisa ya vodacom, naomba gharama ya kaingilia (kukata)
binafsi naona kama hisa za hizi benki zetu wala hazfanyi vizuri nakushauri kama hiza zako zitapanda mpaka angalau 450 basis ziuze na uende kampuni nyingine kama vile swiss port.tbl n.k.Hii biashara ya hisa sina hamu nayo kabisaaaaa nilinunua hisa bank ya crdb hisa moja ilikuwa inasimamia tshs 350 kwasasa imeanguka mpaka tshs 185/=nilipiga hesabu ya kuuza nikajikuta nitapata hasara km ya 5,800,000/=
binafsi naona kama hisa za hizi benki zetu wala hazfanyi vizuri nakushauri kama hiza zako zitapanda mpaka angalau 450 basis ziuze na uende kampuni nyingine kama vile swiss port.tbl n.k.Hii biashara ya hisa sina hamu nayo kabisaaaaa nilinunua hisa bank ya crdb hisa moja ilikuwa inasimamia tshs 350 kwasasa imeanguka mpaka tshs 185/=nilipiga hesabu ya kuuza nikajikuta nitapata hasara km ya 5,800,000/=