Kwa kifupi wasomi wetu sio waoga ni wanaona AIBU ajiuliza yani tuliokuwa nao chuoni wanikute nauza mafenesi au mitego ya panya aaaaaaaah wapi bora njaa iniue hapo sio uoga ni aibu
Sina uhakika ila kuna baathi ya watu wanadai jamaa sio mwanafunzi bali alivaa sare za shule ili aingie eneo la shule akawarubuni watoto wa kike walimu wakawa wamemkamata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.