Recent content by mwmbeki

  1. mwmbeki

    Mei Mosi 2018: Rais Magufuli atapandisha Mishahara miradi mikubwa ya Serikali ikikamilika, Mwaka jana alinukuliwa Vibaya

    salam sana ndugu tusiofahamiana Naomba nianze kununukuu kauli zinadhiaki wafanyakaz katika sherehe za mei mosi. 1, " milion1 had 2 wameandikishwa kusoma bure..hii mm naiona ni nzuri kuliko billion 23, kila mwez et tunajiongezea mishahara.kifup tu ni kwamba, ongezeko la mshahara linasomesha...
  2. mwmbeki

    Haya hapa maandamano mapya ya wasomi

    pengne ni hujui kitu,ngoja nkueleweshe Ni wajibu wa serikal kuhakikisha wananchi wake wanapata elimu na ajira..
  3. mwmbeki

    Haya hapa maandamano mapya ya wasomi

    ahsante, lkn hoja haijibiwi kwa kejel inajibiwa na hoja
  4. mwmbeki

    Haya hapa maandamano mapya ya wasomi

    sawa,lkn wakimaliza shule na degree wajiandae kuchoma mahindi
  5. mwmbeki

    Haya hapa maandamano mapya ya wasomi

    Wasalaam wana bodi.. Direct kwenye topic. Mwaka 1967, (sikumbuki tarehe na siku),Baba wa taifa JK nyerere, akiwa chuo kikuu cha Monrovia, nchin Liberia, aliwambia wanachuo hicho maneno haya; "kazi ya chuo kikuu ni kuchimba na kuujua ukweli,nchi za afrika zitapata maendeleo yake kutoka kwa...
  6. mwmbeki

    Tetesi: Waraka wa watumishi wa CCM walioondolewa kazini kinyume na Katiba ya Chama

    Du, kwanza pole ndugu kwa kuingiliwa na mtu asiyejua mising ya chama, pia nikopongeze, Hakika ujapewa macho ya kuona mbele tu,bali umebarikiwa na peo za kutazama mbali. Wavivu wa fikra watakuona hufai,ni msalit,na pengne watakuita mpinzani.. kwa Maelezo yako yanaonyesha ni jins gan ulivyo kada...
  7. mwmbeki

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    kati ya idara inayopambana kurudisha maisha ya Watanzania nyuma,ni idara ya nishat na madini..mnakata umeme kila siku na kutia watu hasara. mkubuke umeme ni nguzo muhim sana katika uchumi,nkitaja hasara zinazotokana na ukataji wa umeme holela ntajaza page mia Sina uhakika ka umeme ulishawahi...
  8. mwmbeki

    Mange Kimambi amuandikia ujumbe mzito kaka yake aliyekutana na kupiga picha na Paul Makonda

    hapa nimeona nitoe neno: Nakupongeza da mange kwa kuwapenda ndugu zako kias hiki..lkn huamzi wa kuweka haya mambo hadhiran sio mzr.(you hv done a good things but at the wrong direction). Pia hata hao wadogo zako inabd wakuombe radh kwan wanajua relation yako na makonda kuwa si nzr. kupiga nae...
  9. mwmbeki

    Hisia na hamasa za Maandamano nchini: Mapokeo, Mitazamo na Uhalisia (Viongozi na Wananchi)

    Greeting to all Jf members,non members and all who went before us. Now on the topic: The allocated date for demonstration is nearly, a day that will be memorable weather positively or tragically.. On the other hand will be referred as a black day or white day The day to express our suffering...
  10. mwmbeki

    Huyu ndie Rais watanzania tunaemuhitaji

    ww ndo zuzu,mwenzako anajenga hoja ww unatukana,hujui kitu ni mehemko ya kijinga ndo inakusumbua.
  11. mwmbeki

    Mrisho Gambo RC ambaye ni smart na focused!

    kweli we ni jinga lao..
  12. mwmbeki

    RPC Dodoma kadhalilisha Jeshi la Polisi

    ndo huyo huyo kk,m mwenyewe sikumkuta hapo shulen lkn CV yake ndo hiyo..malangali ilikuwa na mafanikio makubwa enzi zake baada ya kuondoka tu mambo yakabadilika
  13. mwmbeki

    RPC Dodoma kadhalilisha Jeshi la Polisi

    ni sawa,lkn mtumiwa huulizwa ni kweli au si kweli? ndo ushaid unaanza kutafutwa,lkn huyu kamanda kashaconclude kabsa
  14. mwmbeki

    RPC Dodoma kadhalilisha Jeshi la Polisi

    nilikuwa shaban robert B 2011-13, nafkr nyie ndo mlituachia nafas
  15. mwmbeki

    RPC Dodoma kadhalilisha Jeshi la Polisi

    your too low? ungrammatical constructed..
Back
Top Bottom