Recent content by mwl sai

  1. M

    Hizi ni hoja zilizoibuka mara tu baada ya Kikwete kumaliza hotuba yake! Wewe una hoja gani?

    U think it is stupidity speech but if you think inductively and deductively you will find its value later.
  2. M

    ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

    Mkuu uwe mwepesi wa kuelewa na kudadafua mambo kwa busara. Kisiasa neno vijana hutimika ku depict watu wote wenye uwezo, sifa, morale, wa kupambana na adui yaani nguri wapinga maendeleo. Pia bila kuachilia mbali kuwalinda na kuwasamini makundi ya watu wote yaani watoto, wazee, walemavu nk.
  3. M

    ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

    CDm inajivuruga yenyewe hakuna mchawi juu ya kifo cha cdm na ccm. Vyama hivi vyote (ccm n cdm) vinampango wa kuwanya wtz masikin milele. Acha ACT chama cha vijana kisichokua na mmiliki. Wamiliki ni watanzania wote wapenda mandeleo.
  4. M

    ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

    Nani kakwambia cheti ndio kipimo cha kujua mambo. hicho cheti ulicho nacho wewe ndio kinachokupa busara ya kutukana watu. Ninamashaka na elimu yako ya weza kuwa ya shingo ya twiga.
  5. M

    ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

    Huo ndo ukweli utaamini kesho usipo amini sasa.
  6. M

    ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

    Mkuu umetumia maneno mengi ikiwa n pamoja na kukashifu kibila za watu kama kawaida ya cdm. Ambayo sera yao kuu ni kukejeli na kukashifu makabila mengine. Mkuu acha ACT iwakomboe watanzania.
  7. M

    ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

    Mkuu wanaosapoti ACT ni watanzania wazalendo wote kutoka vyama vyote, dini zote, makabila yote na taasisi zote zenye nia njema na tanzania yenye rasilimali chungu nzima ila zimekosa usimamizi mzuri. ACT ndio jibu la watanzania. Sasa umefika wakati wa watanzania kukombolewa na chama chao ACTndio...
  8. M

    ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

    hivi huwezi kuacha msimamo wa cdm kukashifu makabila mengine. Mkuu badilika.
  9. M

    ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

    Unachekesha sana mkuu. Hivi huwezi kuacha msimamo wa cdm wa kukashifu makabila mengine. Badilika mkuu.
  10. M

    ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

    ACT ndio mkombozi wa watanzania. Kinakua haraka sana Arusha.
Back
Top Bottom