Recent content by mwitasa

  1. mwitasa

    Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

    Ukihonga elfu 10 wanaenda kutangaziana hapa waweza kumla mama mtu dada mtu rafiki mtu na ukoo mzima
  2. mwitasa

    Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

    Nadhani mtwara inaongoza Tanzania kwa uvivu! Ni sehemu pekee ambako saa moja asubuhi unakuta wanaume wanacheza bao au wapo kwenye vijiwe vya kahawa. Ni sehemu pekee maisha ya wenyeji wanashindia mlo mmoja na wanaona ni sawa. Ni sehemu pekee ambako hata ukitoa kibarua mwenyeji ukisha mlipa elfu...
  3. mwitasa

    Asha (47) ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mvulana wa miaka 15

    Siyo tabia yake tu kutoa upwiru kwa watoto wadogo bali tabia yake ya kuwaua makusudi
  4. mwitasa

    Asha (47) ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mvulana wa miaka 15

    Ndugu wewe ndio umetoa maoni ya kimhemko. sheria haitafasiriwi hivyo. shambulio la aibu si tendo moja tu la dungadunga . Bali ni mkusanyiko wa makosa yakiwemo ambayo hayakidhi vigezo vya kuwa ubakaji! Sheria ipo wazi kuwa mwanamke hawezi kubaka kwa sababu ubakaji ni kitendo cha ume kuingia...
  5. mwitasa

    Bunda: Auawa na mkewe kwa kuchomwa kisu, kung'atwa sehemu mbalimbali za mwili ikiwemo sehemu za siri pamoja na ulimi

    Tunatofautiana akili kwa kweli hivi kitu cha kuingia ukakojoa ukaendelea na mishe zako zinatoa mtu roho! Hivi kuna watu wapo serious na mpz kiasi hiki? Jitu hujazaliwa nalo mumekutana ukubwani umelioa au kukuoa hujalikuta bikira unalikuta lilishatumika hadi basi kulifanyia wivu hadi kukutoa...
  6. mwitasa

    Nimeibiwa vitu vyangu Uwanja wa Julias Kambarage Terminal 3

    Hivi siku hizi unaruhusiwa kusafiri na perfume au nilipanda ndege za kizamani? Itakuwa ni uzembe wa namna gani huu kuruhusu hiki kitu! Hujui kuwa perfume inaweza kuwa ni zuga kikawa ni kimiminika au gesi ya kusababisha mlipuko kwenye ndege? Perfume yaweza kuwa ni gesi au hewa ya kulevya mtu...
  7. mwitasa

    Serikali imdhibiti Maulid Kitenge na kundi lake la wahuni wanaojiita Wasafi Jogging Group

    Katika watu nawaona hawana akili ni mtu anayeacha maeneo mahususi yaliyotengwa kwa ajili ya michezo ( kwenye viwanja vya michezo) kwenda kukimbia kwenye barabarani zilizotengenezwa kwa ajili ya vyombo vya moto. Kwenye sheria za barabarani hakuna kifungu kinachoruhusu watu kwenda kufanyia...
  8. mwitasa

    Nimemchukia mno Baba Mdogo baada ya kujimilikisha nyumba na eneo la babu

    Nami niliwahi kuwa na akili za kijinga kama hizi babu alioa wake wawili na alikuwa na eneo zaidi ya hekari 50. Kabla hajafa kawakabidhi watoto wa bibi yangu mdogo. Bibi kizaa baba hakuambulia chochote. Nikajidai kiherehere kumuuliza babu alinipa jibu moja ambalo lilibifanya nami nitafute...
  9. mwitasa

    Kupunguza umasikini nchini kila familia ipeleke kijana mmoja ughaibuni akapambane huko

    Kwa uelewa wako huko somalia kenya na west Africa familia zina maisha mazuri kuliko Tanzania kisa vijana wao wako nje wanatuma remmitence? Akili za kuambiwa changanya na zako
  10. mwitasa

    Msaada: Naondoaje uraibu wa kusikiliza muziki?

    Tafuta kazi uwe bize nakuhakikishia hata kuangalia movie za tv utaona zinakupotezea muda
  11. mwitasa

    Je, ni sawa kwa Wanajeshi kurekodi video kama hizi na kuzisambaza mtandaoni?

    Huku ndiko tulikofikia mtu kurekodiwa anafanyishwa mazoezi ni kumdhalilisha ili akirekodiwa akikata mauno nusu uchi au vigodoro ni au akifanya ngono ni sifa
  12. mwitasa

    Makonda tunajua ukimya wako wa ghafla si wa kawaida

    Ni akili ndogo sana kuibuka na stori za vijiwe vya kahawa kuleta huku. Aibu yako
  13. mwitasa

    Nilichomfanyia Bosi wangu hatakuja kusahau mpaka kifo chake

    Usishangilie. Tunza hii comment yangu. Kwa kifupi ulichokifanya ni cha hovyo sana. Ulikosea Ulikopeleka hizo barua ni mbali sana. Hata baada ya kuzipokea barua yako wanajua hakuna mfanyakazi hapa. Wakubwa huwa wanachukia wafanyakazi wa hivyo. Kupewa huo usupervisor nakwambia ni mtego tu. Ni...
  14. mwitasa

    Mshikaji wangu anatembea na ex wangu

    Usije ukamsusia mwanamke ambaye bado unampenda utakufa kwa presha. Kama ulifikiri atateseka na kurudi kukupigia magoti ulibugi mkuu. .Huyo rafiki yako atakuwa amemuonea huruma shemeji yake maana anajua fika wewe ndiye mmbaya shemeji hakuwa na kosa. Acha kumzibia x wako bahati inatakiwa uanze...
Back
Top Bottom