Recent content by Mwita Mtu Mrefu

  1. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    KAMA UNAIJUA APP YOYOTE YA KUBETI HIZI ZA KULIPIA INATOA ODDS ZA UHAKIKA, NIPE JINA LAKE NIMRUSHIE MDAU WA IT AIHACK... TUMECHOKA KULIWA
  2. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    KAMA UNAIJUA APP YOYOTE YA KUBETI HIZI ZA KULIPIA INATOA ODDS ZA UHAKIKA, NIPE JINA LAKE NIMRUSHIE MDAU WA IT AIHACK... TUMECHOKA KULIWA
  3. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya upishi kwenye Hotel au Mgahawa

    Nashukuru Mungu nimetafuta tena mtu mwingine na nimempata Kijana atarudi kwao muda si mrefu akaendelee na maisha Kaichafua JF hasa
  4. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania Biashara ya bucha la samaki, nyama na kuku naweza kupata 60,000/= kama faida kwa Dar es Salaam?

    Mimi nipo mwanza. Najitolea kukusafirishia samaki kutoka huko. Tukubaliane namna ya kunilipa
  5. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania Vacancies at Feza International School (FIS)

    Hizi sio nafasi za mwalimu kutoka DUCE wala SAUT.. Zina wenyewe
  6. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania Natafuta Kibarua cha kufua na kufanya usafi

    Unatujua wanaume vizuri lakin?
  7. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya upishi kwenye Hotel au Mgahawa

    Nimesikitishwa sana na madai yake mkuu. Picha nimeiondoa ila niliiweka ili kudhihirisha kwa umma wa jf kwamba kijana anatuchezea mchezo mchafu Vijana lazy kazy kama hawa ndio wanazibia rizki wenzao. Comment ya malalamiko imesomwa na mwajiri wake kwa masikitiko makubwa sana, what a shame Mtu...
  8. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya upishi kwenye Hotel au Mgahawa

    Mbona kaacha ku reply sasa!! Jamaa akili hana kabisa huyu
  9. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya upishi kwenye Hotel au Mgahawa

    Ananikatia simu mkuu. Hataki hata kutoa buku ya bando maana alinisumbua sana na simu za kila wakati nimuunganishe na kazi Leo mwita kawa.mbaya
  10. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya upishi kwenye Hotel au Mgahawa

    Jiulize makubaliano yalikuwaje mkuu la sivyo naleta screen shot za sms zake Dalali haingizwi cha kike hivi hivi
  11. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya upishi kwenye Hotel au Mgahawa

    Chapati kweli anajua ila half cakes ndio anafeli kidogo. Ataelekezwa huko no one is perfect
  12. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya upishi kwenye Hotel au Mgahawa

    Jamaa wa ajabu sana huyu. Anaonekana ana uanaume wa Dar huyu hatulizi mdomo. Yeye analipwa mshahara mkubwa kuliko hata staff wengine lakini hajatulia
  13. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya upishi kwenye Hotel au Mgahawa

    Niko mwanza hapa buzuruga shule kwa mpishi mkuu Imphuvyi Karibu sana J RAS restaurant
  14. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya upishi kwenye Hotel au Mgahawa

    Mkuu huyu kijana hana ustaarabu kabisa Mpishi aliekuwepo alikuwa analipwa 250k tu. Yeye anakula 390k Kula hapa hapa Kulala wanalala washkaji wanne Yeye anataka awe treated like yuko serena hotel jaman wakat ndio kwanza kaanza maisha Nili cancel job requests 6 nikamchagua yeye bila kujali...
  15. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya upishi kwenye Hotel au Mgahawa

    Ni yeye nndio anaandika namuona nimesimama nyuma yake jaman daah wabongo nyoso
Back
Top Bottom