Recent content by Mwira Mwayo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tulivyonusurika kuuawa mkutano wa Chadema ; Ni simulizi za yaliyotokea Arusha

    Ukombozi hauzuiliki tena. Hata CCM ihahe namna gani. Utawala umefika ukingoni. Hongera viongozi wa CCM kwa kuiuwa kwa mpigo.
  2. M

    JamiiForums Tanzania THE FALL OF CHADEMA - Vyombo vya habari vimeanza kususia Siasa za CHADEMA, Jiulizeni!

    Mleta mada, ipo siku Mola atakutembelea. Hivyo vishilingi unavyolipa hutaweza ha kuvila hiyo siku bomu litaigeukia familia yako. Kumbuka tunaombolezea wale waliouawa kinyama. Ungalikuwa na utu, huku ukijua nawe uko duniani, usingalikuja kumwaga utumbo wako hapa. Subiri walau matanga yaishe.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kufilisika kwa wanasiasa CHADEMA na kukosa kwao ajenda, 2015 hamchomoki!!!

    CDM juu!!! CCM Ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Chama Cha Mauwaji. Tanzania itakombolewa hata mkibeba mabomu kiasi gani. Mungu ni mkubwa kuliko mabomu yenu mnayowatupia wanyonge wasio na hatia.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Pinda abanwa - wanaharakati kukusanya sahihi 10,000,000 kumshinikiza Pinda

    Mungu ni mkubwa kuliko Pinda. Ipo siku Mungu atamsemea kwa kuangusha bomu juu ya nyumba yake yeye akiwa amelala ndani na mkewe. Siku hiyo atajua damu za watanzania zinamlilia sana. Atajua pia wanyonge wamenyanyasika siku chini ya utawala wake.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Bomu la Arusha: Gari la Polisi PT 1179 lilitumika

    Hakuna tone la mtanzania aliyeuawa katika haya matukio litaanguka chini bure. Ile damu ya Mwangosi na wengine wengi inaililia Tanzania. Familia za hawa wanyonge. Machozi yao yanaimwagikia Tanzania. Enyi watawala wetu amkeni kwenye huo usingizi unaowazuia kuona jinsi mnavyotuuwa bila sababu. Haya...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Wassira: Shule za kata zimesaidia sana kupunguza mimba!

    Hivi hawa wazee wanaona kama Tanzania ya leo ni ile ya 1954 au? Mbona asijipumzishe tu na heshima yake kuliko kufanya siasa zisizo na heshima? Anajiona bado kabisa uwaziri unamsaidia katika hali hii kweli? Dunia ya leo ni kufikiria mimba tu? This leaders are sick in their very mind! Can he open...
  7. M

    JamiiForums Tanzania CCM, Njia kumi za kuiua CHADEMA kabla ya 2015 hizi hapa

    Zile farasi na mikokoteni kule Canada je? Kuku wa China na vile vitumbua na bembea kule Jamaika? Yaani unafikiri tutaweza kusahau ile mihogo kule Ghana na mananasi yao yalivyo matamu? We embu waza ule ugali namaharage pale Nairobi. Sasa Ne York tutaenda lini tena ama Obama kashatusahau nini...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Siri imefichuka.. Viongozi CHADEMA kuweni makini

    Walau imeshaoka. Ujanja hamna tena. Hii siriakili ni kali.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Sherehe za kumuaga Samweli Sitta zavurugika Dodoma

    Wazee wa watu wanaota ndoto wakifikiri hawajazaliwa. Kumbe makaburi yako midomo wazi.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda: Namna CCM inavyofanya ugaidi nchini

    Tanzania kuna vita ni kwamba tu hazitangazwi waziwazi. Usanii huu wa viaongozi wa ccm utatumaliza damu za ndugu zetu. Inasikitisha sana.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda: Namna CCM inavyofanya ugaidi nchini

    Hizi damu hazimwagiki bure. Yatajulikana yote kama sii hapa duniani, ni mbinguni si walisema watatoa ushaidi mbinguni?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mbinu ya kuwadhibiti viongozi wa CHADEMA ni nzuri kwenu CCM, vipi ikishindwa?

    Unauliza kama ikishindwa mbona imeshashindwa tayari. Watanzania hata hao wanaccm wapo sii kwa sababu eti wanaipenda ccm ni kwa sababu ya matumbo yao makubwa tu. Ukitaka kuhakikisha hili angalia wanavyotoa taarifa kwa CDM hata kabla jambo halijamalizika kusukwa. Huyo aliyemchagua mwigulu ndiye...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye kupinga 'kauli ya Pinda', huyo ni adui wa nchi.

    Pinda angekuwa shujaa angaliangalia uso wake kwenye kiyoo. Atazame tu kwa makini atuambie ana siku ngapi za kuishi pamoja na kutafuka kodi za walala hoi for nothing. Yeye analiona kaburi lake mbaliiii, kumbe liko karibu tu tena sana. Yote aliyojilundikia atayaacha hapahapa duniani. Huwezi...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Polisi na siri ya gwaride la utambuzi kwa majeruhi Arusha mlipuaji na sare za madaktari hospitalini?

    Tanzania imekosa kabisa utawala. Amebaki shetani akimiliki wajinga wachache wanajiita watawala. Hata damu za watanzania hawaoni rangi yake kwao ni kama maji tu yamemwagika. Kinachonishangaza ni kuwa wako tayari kukimbizana huku na huko kwenda sijui kubembea kwa garama za walipa kodi maskini...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Polisi na siri ya gwaride la utambuzi kwa majeruhi Arusha mlipuaji na sare za madaktari hospitalini?

    Jamani hawa polisi tunawabembeleza nini huku mitaani? Si bora tuwafutilie mbali kabisa? Huu nyama tutauvumilia mpaka lini? Inaumiza kupita kiasi.
Back
Top Bottom