Recent content by MWINY WETU

  1. MWINY WETU

    Simba chali, yaburuza mkia

    SIMBA NI WA MWISHO, WAMEBURUZA MKIA Ni kweli kuwa Simba wameburuza mkia katika mchuoano wa timu kubwa katika ligi kuu Tanzania Bara. Licha ya Mchuano wa ligi kuu kwa ujumla lakni kulikuwa na mchuano pia kati ya timu kubwa zilizoshika nafasi ya kwanza hadi ya TATU. Kama timu moja ingeshinda...
  2. MWINY WETU

    Afande Sele atashtakiwa kwa kosa gani baada ya kumtukana Mungu?

    Kuna watu waliwahi kuimba wakimlaumu mungu kwanini ameruhusu mabaya yawafike.Sijui wanaitwa Ambasadors.Wale jamaa walisema kama alivyosema Afande sele ila Tofauti ni kuwa wao hawakuvuta bangi Kwahiyo wakajizuia kutukana
  3. MWINY WETU

    Afande Sele atashtakiwa kwa kosa gani baada ya kumtukana Mungu?

    Mkuu huyo Deo nakumbuka alishtakiwa kwa kosa la kuchapisha taarifa za uongo kinyume na kifungu namba 16 cha Sheria ya makosa ya mitandaoni.Hivyo kwa jambo la Selemani haiingii
  4. MWINY WETU

    Afande Sele atashtakiwa kwa kosa gani baada ya kumtukana Mungu?

    Huenda bwana Selemani Msindi amefanya makosa lakini ni lipi kosa lake kisheria? Nani wakumshtaki? Nani aliefanyiwa kosa? Tukianza na kosa lake kisheria, kifungu namba 129 cha kanuni ya adhabu sura ya 16 kinaeleza kuwa Nikosa kuumiza hisia za imani ya kidini ya mtu mwingine kwa kuweka...
  5. MWINY WETU

    Tuongee kuhusu ufugaji wa wanyamapori

    Kwa Tanzania inaruhusiwa ukifata Taratibu.Kuna bucha dodoma ilifunguliwa mwezi uliopita kwaajili ya kuuza nyama ya wanzama Poli.
  6. MWINY WETU

    Tuongee kuhusu ufugaji wa wanyamapori

    Kwa Tanzania inaruhusiwa ukifata Taratibu.Kuna bucha dodoma ilifunguliwa mwezi uliopita kwaajili ya kuuza nyama ya wanzama poli
  7. MWINY WETU

    Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    Niulize chochote kuhusu Ufugaji wa samaki. Kwa mawasiliano nitafute kwa namba 0710121289. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. MWINY WETU

    vitabu vya ufugaji samaki

    Mimi ni mtaalam na mfugaji pia.
  9. MWINY WETU

    vitabu vya ufugaji samaki

    Bosi usikejeri tu,soma kitabu ujifunze..
  10. MWINY WETU

    vitabu vya ufugaji samaki

    tumezungumzia changamoto utatuzi wake.mifumo yote ya ufugaji samaki,kambale na sato.na mengine mengi.
  11. MWINY WETU

    vitabu vya ufugaji samaki

    Imeisha muda wake
Back
Top Bottom