Simba walitakiwa kumsajili Golikipa kama Stanley Nwabali,,,Namba 6 mwenye uwezo( Mfano Salim Adams),, namba 8 Jabaar sawa,,, namba 9 mwenye uzoefu mfano Nkengi Thadeus, na Mshambuliaji wa ndani mmoja,,, aliyemsajili Keltso ni mjinga maana hakukuwa na uhitaji wake,,, Bakari Msimu ni bora kuliko...