Simba hawakuwa na haja ya kumsajili Keltso,, Wala maema,,, badala yake wangesajili Golikipa wakueleweka mfano ( Nwabali)Mshambuliaji mzoefu( siyo Doumbia) namba 6 wa kiwango kuliko kagoma, namba 8 Kwa Jabaar sawa na Wabaki na Loemba,, Morice. na Bakari Msimu kama back up
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.