Recent content by Mwikimbi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Serikali yaanza ujenzi wa nyumba mpya ya Hayati Magufuli jijini Dar es Salaam kama Rais Mstaafu

    Hatimaye serikali imeamua kuanza ujenzi wa nyumba mpya maeneo ya Golden Tulip kwa ajili ya familia ya Maghufuli. Licha ya kujiuzia nyumba kadhaa jijini DSM, na hata zingine kwa vimada wake akiwa waziri wa ujenzi. Licha kujijengea mahekalu mkoani Geita na kujijengea uwanja wa ndege huko Chato...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Dkt. Bashiru: Namshukuru Rais Samia kwa kuniteua kuwa mbunge, hii ni heshima kubwa kwangu kwani hadi sasa tuko nane

    Mbona hajamshukuru JPM kwa kumteua kuwa Balozi, katibu mkuu wa Rais, kwa mwezi mmoja tu?
  3. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kuongea na waandishi wa habari Makao Makuu ya Chama

    Wewe na nani mkuu umewachoka? vipi ile ya mubashara na Tv kuanzia asubuhi hadi jioni huchoki.
  4. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Brig. Jen Mstaafu Emmanuel Maganga afariki Dunia

    ubarikiwe kwa kuanika uweli
  5. M

    JamiiForums Tanzania Membe: Musiba na Mchange anayewatuma kunichafua kwanini hamnipeleki mahakamani? Kama mnaweza kunirekodi mmeshindwa nini kutoa huo ushahidi

    haya mabilioni ulimpa wewe mkuu? au na wewe ni mbwekaji wa Taifa
  6. M

    JamiiForums Tanzania Damu ya Lissu yawakomboa wanasingida dhidi ya shida ya maji

    baada ya damu ya lissu kumwaga na wasiojulikana sasa ni wazi damu yake haikumwagika bure. Kama Vile Damu ya Yesu ilivyomwagwa msalabani ma kuwa sababu ya wokovu wetu, wana singida wamejikuta matatizo yao ya muda mrefu sasa yakitafutiwa ufumbuzi. Mawaziri wawili wako singida wakisimamia miradi...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Askofu Mkuu Ruwa’ichi aanza kufanya mazoezi

    Habari nzuri sana
  8. M

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amjulia hali Charles Kitwanga aliyelazwa Muhimbili

    kama alivyoenda kumjulia hali lissu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    JamiiForums Tanzania Tusahau mradi wa bomba la mafuta si mara ya kwanza kwa Museveni

    kweli Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ufisadi mpya wa Mkurugenzi Manispaa ya Ubungo

    Wanahaha kumchafua Mama hachafuki huyu ndo kiboko wa mafisadi
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mhe.Freeman Mbowe akiongoza kikao cha Baraza la Uongozi la Kanda ya Ziwa Victoria kilichofanyika Leo tarehe 20.10.2018 Jijini Mwanza

    saa ya ukombozi ni sasa sumaye kuna wakati muda utamtunuku amesimama na sisi hata kama watesi wetu hawapendi
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kamati Kuu ya CHADEMA kukutana Kikao cha Dharura. Ni Kikao cha kuwachinjilia mbali Kubenea na Komu

    chadema mkituingiza kwenye chaguzi zitakazogharimu 3bn kwa kushindwa kutatua migogoro yenu ya ndani hatutawaelewa. fanyieni kazi hiyo clip na mjisahihishe bima kutuadhibu sisi walipa kodi
  13. M

    JamiiForums Tanzania Tuorodheshe majina ya waliopotea au kupotezwa katika mazingira ya kutatanisha

    acheni jokes it is about peoples lives
Back
Top Bottom