Recent content by Mwihenangu

  1. M

    Niko njia panda

    Wachana na mume wa mtu weee mtoto wa kike! Hapo hakuna cha kupenda wala nn ni kuendekeza tu. Hebu jiweke upande wa pili wa mke wa jamaa ukisikia habari hizo utafurahi? Ni tamaa zako tu zinakusumbua. Wee subiri jamaa yako arudi muoane,nawe ufaidi vyako.
  2. M

    Usiipite hii post tafadhali...hebu ichungulie

    kwa maoni yangu,wee bado kinda sana hata kama mapenzi hayana umri. achana naye huyo,tafuta size yako. kumbuka yeye atazeeka mapema wakati wee bado unadai. na pia wanawake hupoteza ladha mapema kuliko mwanaume, mwanaume hadi 75 anaweza kuoa wakati demu wako akifikisha miaka 55 kwisha habari. wee...
  3. M

    Yeye mke wa mtu mi mme wa mtu lakini.......

    kaka, hoja rahisi sana hii. asikudanganye mtu uamuzi unao mwenyewe. kama ulikua ni utani mwambie wazi kwamba nilikutania tu. kumbuka all women's 'chemistry' is the same. tunazuzuka na maumbo ya nje tu. Heshimu ndoa yako ndg yangu.
  4. M

    Nimemvua pete ya ndoa kwa hasira

    kwa kua umegundua kwamba jamaa ana mke, na alikudanganya siku zote hizo kwamba hajaoa basi ukiustaarabu kabisa mkalishe chini na kuagana nae kwa heshima zote. pia mrudishie pete yake. usijali utapata mwanamume wa ukweli..utasahau masahibu yote hayo!
  5. M

    Dawasco yashinikizwa kutengeneza documentary kumnusuru waziri wa maji na CCM

    hata kama wakitangaza kupitia bbc, voa, aljazeera; sie wananchi tunataka maji. maji ni uhai...hayana itikadi! viongozi wa ccm wawe wakweli kukubali changamoto ya kupatikana kwa maji safi na salama.
Back
Top Bottom