Recent content by mwigo75

  1. M

    Walimu karibu wote uwezo mdogo

    POINT NI KWA MASOMO MAWILI AMBAYO AMEFAULU YAANI C AND D
  2. M

    Tatizo sio Magufuli kuwa Rais, ni CCM kupata zaidi ya wabunge 217 out of 264

    Ada mwakani tsh 0, je michango mengne itakuwa shilingi ngapi
  3. M

    TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

    Ni kweli amefariki kwani star TV tuonge asubuhi Wametoa taarifa hiyo kwa ufupi. R.I.P Mtikila.
  4. M

    Sumaye haeleweki anachosimamia

    Pamoja na ushabiki wote wa kisiasa na kama unazijua siasa hasa za Tanzania, na dunia kote, huwezi kumtukana mtu kiasi hicho hasa mawaziri wakuu waliopita na binadamu yeyote katika medani za kisiasa vingnevyo unatumika na pia huna akili timamu, Tanzania ni nchi ya mfumo wa vyama vingi na hakuna...
  5. M

    Tofauti ya Lowassa na Magufuli hii hapa

    Nani amefanya hivyo katika nchi hii,hata hivyo alijiuzuru uwaziri mkuu wakati tokomeza, escrow mbona PM hakujiuzuru kama Mtendaji mkuu wa serikali?
  6. M

    Mke akiwa mzuri anatongozwa na wanaume wengi

    uzuri wa mke au mwanamke yeyote yule ni relative kwani kila mwanaume ana matamanio yake. Wanawake na mwanaume wako wa aina mbili 1. Mke wa starehe, anapendeza kwa umbo lake na sura na akipata mme wa kuolewa asilimia kubwa hiyo ndo haiwezi kudumu kama mume ni wa ndoa 2. Mke wa ndoa asilimia...
Back
Top Bottom