Pamoja na ushabiki wote wa kisiasa na kama unazijua siasa hasa za Tanzania, na dunia kote, huwezi kumtukana mtu kiasi hicho hasa mawaziri wakuu waliopita na binadamu yeyote katika medani za kisiasa vingnevyo unatumika na pia huna akili timamu, Tanzania ni nchi ya mfumo wa vyama vingi na hakuna...
uzuri wa mke au mwanamke yeyote yule ni relative kwani kila mwanaume ana matamanio yake.
Wanawake na mwanaume wako wa aina mbili
1. Mke wa starehe, anapendeza kwa umbo lake na sura na akipata mme wa kuolewa asilimia kubwa hiyo ndo haiwezi kudumu kama mume ni wa ndoa
2. Mke wa ndoa asilimia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.