SENSA inafaida gani kwa watu wa wilaya ya KONDOA? miaka 50 sasa hakuna High school, hakuna Hospitali, hakuna maji, hakuna Umeme,hakuna barabara n.k.
Binafsi yangu sioni faida ya sensa, kama hata maji bado watu wanachota mtoni, highschool mpaka twende moshi, songea, mwanza nk. KAMA BUDGET YA...