PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Maumivu ya kichwa hayo!habari za uzushi hizo kwani teyari wameondoka kusini kutokana na wakati mgumu walioupata na mpaka DR SLAA KUPOPOLEWA MAWE na wakazi wa hapo baada ya kuzusha jambo kuhusu MTATIRO mpaka akaokolewa na polisi na wenyeji wake. lol mnajidanganya maana nyie mnategemea media tu lakini ukweli ni kwamba wamerudi bila bila maana walitaka kukaa siku 17 lakini wamekaa siku saba tu.
Unalipwa bei ngapi ewe mwanamagamba kuongea uwongo mchana kweupe?